ARV JF-Expert Member Sep 6, 2011 4,954 6,940 Oct 22, 2011 #2 Teh teh, kumbe kwa Sir GOD kuna geti la chuma.mi nilijua walivyosema hakuna wizi nikajua hayo magril hayana kazi huko.teehe tehe he he heee.
Teh teh, kumbe kwa Sir GOD kuna geti la chuma.mi nilijua walivyosema hakuna wizi nikajua hayo magril hayana kazi huko.teehe tehe he he heee.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,779 Oct 22, 2011 #3 Nice one! Sasa steve jobs akiingia kwenye kuubadilisha ufalme wa mbinguni kuna dhambi tutachomoa kweli!kha!
Nice one! Sasa steve jobs akiingia kwenye kuubadilisha ufalme wa mbinguni kuna dhambi tutachomoa kweli!kha!