Stesheni za redio TZ zirudishe mitambo ya short-wave vijijini .

Njangula

Senior Member
Oct 20, 2011
179
18
Tangu miaka ya 90 mwishoni RTD ambayo ndo TBC hivi leo walizima matangazo kupitia short-waves ambayo yalikuwa yanafika sehemu kubwa sana suala lilikuwa kunyosha aerial tu. Sasa hatupati matangazo mpaka usiku kupitia medium waves. Matangazo ya FM hayana coverage kubwa. Sie Ludewa tunapata FM za Malawi. Please rudisheni system ya zamani mnatutenga sana jama.
 
Tangu miaka ya 90 mwishoni RTD ambayo ndo TBC hivi leo walizima matangazo kupitia short-waves ambayo yalikuwa yanafika sehemu kubwa sana suala lilikuwa kunyosha aerial tu. Sasa hatupati matangazo mpaka usiku kupitia medium waves. Matangazo ya FM hayana coverage kubwa. Sie Ludewa tunapata FM za Malawi. Please rudisheni system ya zamani mnatutenga sana jama.

Nini tofauti kati ya SW,MW na FM?
 
Sw short wave, mw medium wave na fm frequuency moduration. Sina utaalamu ila najua kwa uzoefu kupitia redio zetu kuwa sw usikivu not so consistence yaani mawimbi yanayumba ila unayapata hata ukiwa bondeni. Mw inasikika vema ukiwa karibu na relay centre mfano songea, Mbeya lkn mbali ya hapo ni mivumo tu. Fm inasikika vizuri mno lakini not uniform,mfano RFA itashika nyumba hii lakini nyumba inayofuata hamna kitu. Ndo uhalisia nilioexperience!
Nini tofauti kati ya SW,MW na FM?
 
Back
Top Bottom