Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
Makamu Mwenyekiti CCM Bara, Stephen Wasira amesema Itakua jambo la busara kama CHADEMA watashiriki uchaguzi mkuu.
Aidha Wasira amesema walikutana na chama hicho chini ya mwamvuli wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) chini mwenyekiti wake Tundu Lissu ili kujadili tofauti zilizopo kati ya vyama hivyo ambapo makatibu wa vyama hivyo walichambua masuala ya katiba, sheria za uchaguzi na masuala ya kawaida kama utawala.
Aidha ameongeza kuwa hakuna sheria inayotungwa dunia ikakubaliwa na watu wote akisema mpaka ikianza kutekelezwa na kuona mapungufu kisha kufanyiwa marekebisho.
Amesema hayo kwenye kipindi maalum cha mizani cha TBC tarehe 30 Julai 2025.
Aidha Wasira amesema walikutana na chama hicho chini ya mwamvuli wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) chini mwenyekiti wake Tundu Lissu ili kujadili tofauti zilizopo kati ya vyama hivyo ambapo makatibu wa vyama hivyo walichambua masuala ya katiba, sheria za uchaguzi na masuala ya kawaida kama utawala.
Aidha ameongeza kuwa hakuna sheria inayotungwa dunia ikakubaliwa na watu wote akisema mpaka ikianza kutekelezwa na kuona mapungufu kisha kufanyiwa marekebisho.
Amesema hayo kwenye kipindi maalum cha mizani cha TBC tarehe 30 Julai 2025.