Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,204
- 13,183
Wabunge mizigo ambao hawatakiwi tena kurudi bungeniStephen Masele akiwa anahojiwa leo na DW amesema yeye hana kosa lolote lile wala hajagonganisha mihimili yoyote.
Anasema kilichopo ni kuwa kuna Rais wa Bunge la Afrika ambaye ana kashfa ya ngono na yupo kwenye uchunguzi wa kashfa ya ngono, na yeye kama Makamu wa Rais wa Bunge anatakiwa achukue nafasi ya Rais huyu sababu amesimamishwa.
Sasa Rais huyu anamtumia Spika Ndugai ili kumzuia Masele asichukue nafasi yake wakati akiwa kwenye uchunguzi.
Msikilize zaidi hapa
1. Job ndugai,
2. Harisson mwakyembe,
3. Kangi lugola
4. Lusinde
5. .......
6.........
Job ndugai ni zigo ambalo lipolipo tu na halijielewi kabisa, linadhihirisha ni jinsi gani lilivyo zigo na dhaifu,
Vivyo hivyo kangi lugola anaishia kutoa matamko pumba tupu,