Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,833
- 18,828
Stephen Masele akiwa anahojiwa leo na DW amesema yeye hana kosa lolote lile wala hajagonganisha mihimili yoyote.
Anasema kilichopo ni kuwa kuna Rais wa Bunge la Afrika ambaye ana kashfa ya ngono na yupo kwenye uchunguzi wa kashfa ya ngono, na yeye kama Makamu wa Rais wa Bunge anatakiwa achukue nafasi ya Rais huyu sababu amesimamishwa.
Sasa Rais huyu anamtumia Spika Ndugai ili kumzuia Masele asichukue nafasi yake wakati akiwa kwenye uchunguzi.
Msikilize zaidi hapa
Anasema kilichopo ni kuwa kuna Rais wa Bunge la Afrika ambaye ana kashfa ya ngono na yupo kwenye uchunguzi wa kashfa ya ngono, na yeye kama Makamu wa Rais wa Bunge anatakiwa achukue nafasi ya Rais huyu sababu amesimamishwa.
Sasa Rais huyu anamtumia Spika Ndugai ili kumzuia Masele asichukue nafasi yake wakati akiwa kwenye uchunguzi.
Msikilize zaidi hapa