Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,527
- 37,943
Mungu yupo na dini ya kweli ni matendo memaSwali zuri. Suala la watu kujitenga au kuhitilafiana ni kutokana na ujinga,mataminio ya nafsi na ujuaji.
Kila jambo lina chanzo,na ukisoma vizuri utakuta ya kuwa asili ya Mola wetu kuchagua miongoni mwa waja wake kuwa mitume au manabii ni baada ya waja kuanza kufanya shirki/ushirikina.
Binadamu tumeumbwa na utashi,uhuru wa kutenda na kuchagua na tukapewa nyenzo za kuupokea ukweli. Huu uhuru tuliopewa ndio tunautumia vibaya. Leo hii hakuna mtu anae lazimishwa kufanya uovu zaidi ya hiari yake mwenyewe,na kuna wakati mwanadamu anaweza kufanya jambk huku akijua kabisa jambo hili lina madhara lakini akafanya,hapa nani wa kumlaumu ? Kuuliza swali kwanini kuna madhara ni uvivu wa kufikiri na kujiuliza kwanini unafanya jambo ovu au lenye madhara ni matumizi mazuri sana ya akili.
Mitume wote walikuwa na imani moja,walikuja kutangaza wito kwa waja wote wamuabudu Mola mmoja na wampige vita mshirikina na wajitenge na taghuut. Hii ndio kauli ya mitume wote,hapa utaona ya imani ni moja,ila mitume walitofautiana sheria kutokana na mahitaji. Ndio maana sheria ya Mussa si ya Issa ,ya Issa si ya Daudi si ya Suleymaan na si ya Muhamman amani ya Allah iwe juu yao.
Nakomea hapa kufupisha maelezo,kama utakuwa na swaki kwa haya nikiyo kueleza utauliza.
kk
Uthibitisho wa kipi ninachosema?
Mistari ya Biblia inayosema dunia haizunguki.
1 Chronicles 16:30: "He has fixed the earth firm, immovable."
Psalm 93:1: "Thou hast fixed the earth immovable and firm ..."
Psalm 96:10: "He has fixed the earth firm, immovable ..."
Psalm 104:5: "Thou didst fix the earth on its foundation so that it never can be shaken."
Isaiah 45:18: "...who made the earth and fashioned it, and himself fixed it fast
Unaweza kutupa uthibitisho wa hiki unachosema?
amina sana NGUDU YANGU ..HAWA WATU NDIO HAPA TUNAWAKAMATA TUNAWAONA EMPTY KABISA...KUNA MMOJA ANAPINGA UWEPO WA YESU KUA ALIISHI ILA ANAKUBALI GALILEO ALIKUWEPO...HAHAHAHHAHA NIMEFURAHI SANANacheka sana,huwezi kutofautisha kauli hizo mbili sababu zote zinaingia katika maana moja,kauli ya kwanza ni swali la kutaka kujua na kauli ya pili ni kuweka bayana au tamayizi au kuelezea na kukiri.
Sasa tatizo lipo kwako usie weza kutoa maana moja katika swali na kauli ya kukiri,hali ya kuwa viwili hivyo ni sawa.
Socrates Method sina haja ya kuijua,sababu kujua kwake na kutokuijua ni sawa. Naweza kukuuliza moja tu ambalo najua hutaweza kulijibu,achilia mbali kuhusu Socrates Method,lakini hapa nakuuliza swali,kwanini hutilii shaka uwepo wa Socrates wakati hujawahi kumuona zaidi ya kusikia habari zake ? Lakini je nikikuuliza swali unithibitishie kama Socrates aliwahi kuishi duniani unaweza kufanya hivyo ?
Nipo ....
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna mtengano huu.Kitu cha pili fikiria hichi kitu
Tupo watu takribani , let us say kama ishirini kwenye majadiliano
Ni watu wa dini tofauti tofauti lakini katikati yetu kuna watu wawili hawaamini Mungu yupo
Kwa umoja wetu sisi watu kumi na nane wa dini tofaut tofaut si mwislamu si mkristo si mbudha si mnani yaan wote tukashirikiana kupinga wale watu wawili
Wale watu wawili wakaona isiwe tabu wakajitenga na sisi , tuliobaki tukaanza kuondoka kwenda sehemu
Katika maongezi yetu tukaanza kuwaponda wale jamaa , aah mafala sana wale hawaamini uwepo wa Mungu , kwa kweli tukawasema sana
Lakini mbudha akaibua hoja , hivi nyie wakristo na waislamu mungu wenu sio wa kweli ,, teh
Tukajitenga nae
Tukabaki wakristo na waislam , tukaanza kumponda mbudha , aaah yule jamaa ni multi orse jinga kabisa
Mara teh , sheikh akaibuka nyie mnaamini Allah
Wakristo wakaja juu , "we fala unasemaje
Kilichofuata ni mapigano ambayo hata hapa jukwaa la dini huwa tunayaona matusi kejeli , kati ya hizi dini mbili
Mara wakristo wakaenda njia yao huko walijitenga kinoma
Yaanu tukamkuta
Msabato
Mlokole
Mroma
Muanglican
Mpentecost
Mmoravian
Mluthet
Na wwngine wengi , ambao hawakuaminiana kabsa kuhusu mungu wanayemuabudu
Mara huku waislam nao wakajitenga
Nadhan unajua kuna makundi mangapi ya waislamu
Je unadhani , hilo la kujitenga linathababishwa na nini , kwa nini Mungu hakuamua kuwe na njia moja ya kumjua yeye
Usibishe hapa , unawakosoa sana wakristo jukwaa la dini
Je Mungu wao ni wauongo ?
Je wako ni wa kweli ?
Je tumwamini Mungu yupi ?
Kwa nini anajicontradict hivi
Kuna sehemu wanakula kitimoto
Mara huku hawali
Hapo ni kwa wakristo huku
Unadhani sababu ni ipi
Huo mtengano uliotokea kwa watu ishirini , je unaweza kuwa uthibitisho wa kwamba mungu yupo au hayupo ?!
Teh ....Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna mtengano huu.
Mtengano huu unaonesha Mungu huyo hayupo, ni hadithi tu zimetungwa na watu.
Ndiyo maana kila utamaduni una hadithi yake tofauti.
Uwepo wa socrates unaweza kuthibitishwa
Lakini uwepo Wa Mungu kuthibitishwa ndo umeibua yote haya !!
Kiranga anataka athibitishiwe Mungu yupo , mimi naamini Mungu yupo ila siwezi kuthibitisha
Hapo ndipo wengi hatumuelewi kiranga na hatumsaidii sisi kama watu ambao tunaamini Mungu yupo
Tunamshambulia , na amekuwa victim
Kiranga njoo umjibu dada akoUnawezaje kuthibitisha uwepo wa Socrates ? Au unatumia nyenzo gani kuthibitisha uwepo wake ?
Unafikiri ni sahihi kuwepo au kuibuka haya ? Je ushawahi kujiuliza ya kuwa wanao kana uwepo wa Muumba wameegemea misingi gani ? Je wako sahihi ?
Kiranga hajawahi kutaka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu ukipima katika mizani ya kielimu. Huwezi kuomba thabati ukianza na kukanusha,na kama angekuwa anataka kuthibitishiwa uwepo wa Mungu asingekuwa anakanusha mpaka leo. Kwa maana yeye ana imani yake tayari,ambayo alitakiwa kwanza athibitishe yeye kuwa Mungu yupo. Ajabu jambo asilolijua ni kuwa hiyo imani yake imejengeka katika ujinga,kwani siku zote swali lakini ni "Kama Mungu ni mjuzi wa yote,......... kwanini ameruhusu maouvu au majanga yatokee ?"
Naendelea ....
Kuamini unaruhusiwa kuamini lolote, hata lile ambalo halipo.Teh ....
Mi siwez kumthibitisha ...
Ila naamini yupo ...
Kuna wanasayansi wenzangu wa neuro hapa John Hopkins hawataki kuelewa kabisa story za Mungu kuwepo
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo, kungekuwa hakuna mtengano huu.
Mtengano huu unaonesha Mungu huyo hayupo, ni hadithi tu zimetungwa na watu.
I swore off this calcified cretin.Kiranga njoo umjibu dada ako
Mi sielewi maswal yake
Mwanzon ni kama walkua wanantenga kutokana na misimam yangu ya diniKuamini unaruhusiwa kuamini lolote, hata lile ambalo halipo.
Na kifalsafa unaruhusiwa uhuru wa kuamini. Hili jambo halihitaji kwenda na fact. Ndiyo maana uhuru wa kuabudu upo katika katiba na Universal Declaration of Human Rights.
Kuna sababu hao wanasayansi wa Hopkins hawaamini habari za Mungu.
Ukiangalia nchi zenye maendeleo ya elimu kama Northern Europe utaona imani ya Mungu ni ndogo sana.
Halafu ukiangalia nchi zenye kiwango cha chini cha elimu rasmi huku kwetu Africa utaona watu wanasema imani ya Mungu iko juu sana.
Halafu ukiwaangalia hata hao wanaosema wanamuamini Mungu, ukiangalia matendo yao, utakuta kwa sehemu kubwa wanapiga soga tu, hawaishi kama watu wanaoamini kweli Mungu yupo. Kwa sababu hata kwa watu wanaosema wanaamini Mungu yupo, ni vigumu kuishi kama unaamini Mungu yupo wakati hayupo.
Ndiyo maana katika dunia hii, wanaoishi kwa maandiko ya hiyo anayesemwa Mungu (ambayo yana contradiction kibao) ni wachache sana. Hata kama unaweza sheria za msingi tu kama kigezo.
I sweared off this calcified cretin.
Hana basic qualifications za kufanya mjadala nami.
Namuambia haelewi Socratic method ni nini, ananiambia hana haja ya kuelewa.
Hana hata utashi wa kuelewa asichoelewa, sasa nitajibizana naye ili iweje?
Nimemu ignore, hata anachoandika sikioni.
Mungu yupo na dini ya kweli ni matendo mema
Ila bado hatujaweza kuthibitisha uwepo wake , hilo usibishe dada !
Nacheka sana,huwezi kutofautisha kauli hizo mbili sababu zote zinaingia katika maana moja,kauli ya kwanza ni swali la kutaka kujua na kauli ya pili ni kuweka bayana au tamayizi au kuelezea na kukiri.
Sasa tatizo lipo kwako usie weza kutoa maana moja katika swali na kauli ya kukiri,hali ya kuwa viwili hivyo ni sawa.
Socrates Method sina haja ya kuijua,sababu kujua kwake na kutokuijua ni sawa. Naweza kukuuliza moja tu ambalo najua hutaweza kulijibu,achilia mbali kuhusu Socrates Method,lakini hapa nakuuliza swali,kwanini hutilii shaka uwepo wa Socrates wakati hujawahi kumuona zaidi ya kusikia habari zake ? Lakini je nikikuuliza swali unithibitishie kama Socrates aliwahi kuishi duniani unaweza kufanya hivyo ?
Nipo ....
Rafiki ambaye atataka kunitenga kwa sababu ya tofauti za kifalsafa kuhusu dini, huyo hakufaa kuwa rafiki yangu tangu mwanzo.Mwanzon ni kama walkua wanantenga kutokana na misimam yangu ya dini
Ila nikaamua kuacha kuwa na misimamo , nisiwalazimishe waamini Mungu yupo
Urafiki ukarejea !
Wala nao hawanisumbui
SawaNacheka sana,kuniita mimi "dada" hakubadilishi ukweli na wanaume tuna lugha zetu,na katika wanaume kuna wanaume. Vipi ukitaka kunifedhehesha nini ? Nakupa udhuru na hivi ndivyo nilivyo mimi.
Huwezi kutenda mema bila kujua kwanini unatenda wema na unatenda wema kwa ajili ya nani ? Hapa ndipo wanatoka wote watendao wema huku wana imani potofu,nia batili na hapa wanatoka mabudha,wamajusi,waabudu mizimu,washirikina na mfano wao.
I swore off this calcified cretin.
Hana basic qualifications za kufanya mjadala nami.
Namuambia haelewi Socratic method ni nini, ananiambia hana haja ya kuelewa.
Hana hata utashi wa kuelewa asichoelewa, sasa nitajibizana naye ili iweje?
Nimemu ignore, hata anachoandika sikioni.
Mufti siku hizi unajengeka_Naona unajenga hoja kwa logic .....hatari sana
Ilabaki kidogo nidhani sio wewe..!?
Define uchawi, Uganga, Elimu ya Nyota. Elimu ya majini.
Sawa
Siku njema