Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Wewe sema umeshindwa kujibu hoja ndo maana unatafuta kuhamisha mada ambayo pia\ imejibiwa. Jibu hoja zilizotajwa juu
Kama Mungu wa Biblia ni wa kweli, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliweza kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini ameumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Umelielewa swali?

Unaweza kulijibu?

Kama umelielewa na unaweza kulijibu, lijibu.

Kama hujalielewa, uliza ueleweshwe.

Angalizo, jibu kama umeelewa swali tu.
 
Kama Mungu wa Biblia ni wa kweli, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliweza kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini ameumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Umelielewa swali?

Unaweza kulijibu?

Kama umelielewa na unaweza kulijibu, lijibu.

Kama hujalielewa, uliza ueleweshwe.

Angalizo, jibu kama umeelewa swali tu.

Siwezi kukulazimisha kuelewa ndo maana umekimbia hoja ya msingi ya Big bang...Period and out
 
Siwezi kukulazimisha kuelewa ndo maana umekimbia hoja ya msingi ya Big bang...Period and out
Umeshindwa kumuelezea kimantiki Mungu wa Biblia, kwa sababu haelezeki kimantiki, kwa sababu hayupo.

Ni Mungu wa hadithi tu mwenye contradictions ambazo hazitatuliki.

Tatizo sina hakika hata kama unaelewa contradictions zisizotatulika ni nini.
 
Imani ni neno lenye matumizi sahihi kidini

Imani limetangaa kote kote,kwani imani imejengeka katika kutokuwa na shaka. Kujua na kutokuwa na shaka havitengani na huo ndio msingi wa imani,sasa iweje useme huamini na hujui hakika ya tamko Imani ?

Kwa ufupi Imani na kujua havitengani. Na huwezi kuthibitisha ya kuwa wenye Imani hawajui.
 
Kama Mungu wa Biblia ni wa kweli, mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliweza kuumba ulimwengu vyovyote alivyotaka.

Kwa nini ameumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

Umelielewa swali?

Unaweza kulijibu?

Kama umelielewa na unaweza kulijibu, lijibu.

Kama hujalielewa, uliza ueleweshwe.

Angalizo, jibu kama umeelewa swali tu.
Kiranga nimegundua hata wewe mwenyewe huelewi unachokishikilia.

Ni kwamba Mungu kuumba dunia iliyo na mabaya hakumfanyi Yeye kutokuwepo.

Na inaelekea unabishana wewe kwa wewe huko uliko, na ndicho nimegundua.
 
Tatizo unajifanya kwamba unajua kila kitu, na kinyume chake ndio sahihi.

Una ubishi wa kitoto, na kama ungekuwa una nia ya kujua kama Mungu yupo hill lingeshaisha muda mrefu.

Tatizo unajifanya mjuaji.

Umeulizwa huko juu kuhusu Socrates hujatoa jibu mpaka sasa.

Uchawi na Shetani ni Mali na mmiliki wake, sasa unasema kama Shetani/uchawi upo basi Mungu hawezi kuwepo!!??

Kwamba kama uovu upo Na mahakama inayohukumu waovu haipo sababu mahakama inayopenda watu waishi kwa ustaarabu haiwezi ruhusu?

Sihitaji kukupa definition ya hayo unayouliza Ila Niko tayari kukupa nauli nikupeleke Tanga ama Morogoro nikufikishe kwa wazee ukajionee mwenyewe...!

Ubishi wa kujijaza kichwa kwamba unaakili sana kwa kupinga uwepo wa Mungu haukusaidii.

Ungekuwa na akili sana ungefanya mambo yanayoisaidia jamii yetu ya Afrika kupiga hatua, lakini wapi..., umekalia "Hakuna Mungu, hakuna Mungu"

Tuna Ebola, tuna Malaria, tuna Magonjwa ya mimea, tuna shida za maji, umeme kama UNA AKILI SANA, mbona usifanye kutoa mchango wako kwa jamii tukusifu, tuseme Kiranga ana akili kavumbua hiki na kile?

Huyo anasumbua watu na kupotezea muda,maswali magumu huwa hajibu na amekuwa muoga pia. Anasema mimi ameni "Ignore" hii ni ajabu kwa lipi mpaka ani "Ignore" ?. Nimeshamwambia aache uoga. Tunajifunza sisi hatushindani.

Huyi naswali magumu huwa hajibu zaidi ya kupanic na kutukana watu na kutafuta kichaka cha kujificha.
 
Hiki ndicho unaweza kimbilia...
Hujajibu nilichokuuliza, ulichojibu sijakuuliza.

Kama Mungu yupo, kaumba ulimwengu huu, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tuseme sikatai kuwepo kwa Mungu, nauliza niweze kumuelewa tu.

Unaweza kujibu swali hili?
 
Ungekuwa unaelewa unayoulizwa na kutoa majibu nafkiri huu mjadala usingalikuwepo. Unachofanya ni kutembeza Uzi tu kwa kudokoa dokoa vitu na Siku zimeenda basi...
Hujajibu nilichokuuliza, ulichojibu sijakuuliza.

Kama Mungu yupo, kaumba ulimwengu huu, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tuseme sikatai kuwepo kwa Mungu, nauliza niweze kumuelewa tu.

Unaweza kujibu swali hili?
 
Hujajibu nilichokuuliza, ulichojibu sijakuuliza.

Kama Mungu yupo, kaumba ulimwengu huu, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tuseme sikatai kuwepo kwa Mungu, nauliza niweze kumuelewa tu.

Unaweza kujibu swali hili?
Naweza kujibu, na kabla ya kukupa jibu ndipo nikakuambia dunia kuwa na mabaya haimfanyi Mungu kutokuwapo.

Sasa, ni kitu gani kisichoeleweka hapo?
 
Hujajibu nilichokuuliza, ulichojibu sijakuuliza.

Kama Mungu yupo, kaumba ulimwengu huu, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote.

Kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kuwepo, wakati alikuwa na uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani?

Tuseme sikatai kuwepo kwa Mungu, nauliza niweze kumuelewa tu.

Unaweza kujibu swali hili?
Alipoumba ulimwengu aliacha utashi kwa binadamu wa kufuata mazuri aua mabaya,sasa haya ni maamuzi yake na hatujui kwanini aliamua hivyo na hakuna wa kuuliza kwanini aliamua hivyo ,he is God,a living God...
 
Alipoumba ulimwengu aliacha utashi kwa binadamu wa kufuata mazuri aua mabaya,sasa haya ni maamuzi yake na hatujui kwanini aliamua hivyo na hakuna wa kuuliza kwanini aliamua hivyo ,he is God,a living God...
Hata wewe hujaelewa swali. Ndiyo maana wengi hufeli mitihani.
 
Back
Top Bottom