Stephen Hawking's Final Book Says There's 'No Possibility' of God in Our Universe

Umependekeza mifano ya kimantiki, basi na tuende hivyo.

Kwa hekima yake mtu anaweza kuamua asizae na akaona ni vizuri, lakini kwa walio wengi wanaona utasa, ugumba na namna zote za kukosa uzazi kuwa ni 'mabaya'

Sasa kama kuwa na watoto ndio kitu kizuri ambacho watu wanafurahia, ni kwa nini Mungu hakuumba watu wote wawe na watoto wao tayaritayari?

Wasipitie michakato ya kupevuka
Wasipitie michakato ya utungu
Wawe tu na watoto wao tayaritayari🤔

Lakini hata hilo likiwezekana bado kutakuwa na mabaya.
Watoto wadogo wanalialia
Kulea ni kazi
Mara chanjo, mara waugue
Wasubiriwe wakue ni usumbufu tu. Kwa nini Mungu asingewaumba wakiwa watu wazima.

Sasa hao watu wazima nao (ambao ni watoto) sio vema wangekuwa na watoto wao wakiwa watu wazima tayari? Vivyo hivyo hadi mwisho.... Basi angeumba tu watu wote wanaohitajika mara moja tukaachana na shida. Hapo ndio tutajua kuwa ana upendo wote na uwezo wote eeeeh!?

Sasa bro, huoni kama kwa kufanya hivyo atakuwa effectivelly amefuta kabisa kipengele cha maisha kinachohusisha ukuaji, sex, utoto, utu uzima. Na tayari maisha yamepungua uwanda wake pakubwa tu?.

Vivyo hivyo kama ukienda kwenye 'mabaya' mengine yote yakafutwa moja baada ya jingine ndiyo mwishowe tunakuwa hatuna maisha kama tunavyoyafahamu sie maana hakutakuwa na muda tena.

Maana utauliza kwamba sasa taabu yote ya nini ya milipuko na kujisongasonga kwa nyota, magalaxy na sayari na mavolkano na matetemeko. Si angeumba tu yakiwa mwishoni bila usumbufu huu wenye mabaya mengi. Yaani iwe tu kila kitu kilishasambaa na entropy iwe kamili 100%. Je kutakuwa na uhai tena?
Umeuliza swali.

"Sasa kama kuwa na watoto ndio kitu kizuri ambacho watu wanafurahia, ni kwa nini Mungu hakuumba watu wote wawe na watoto wao tayaritayari?".

Hakuumba hivyo kwa sababu hayupo. Ili kuumba hivyo inabidi awepo kwanza.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Umeuliza swali.

"Sasa kama kuwa na watoto ndio kitu kizuri ambacho watu wanafurahia, ni kwa nini Mungu hakuumba watu wote wawe na watoto wao tayaritayari?".

Hakuumba hivyo kwa sababu hayupo. Ili kuumba hivyo inabidi awepo kwanza.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Hapana, yupo na ametoa zawadi ya uhai na kuweka mazingira yanayowezesha kuyaishi maisha.

Ndio maana kila siku uhai unafanya michakato kufikia hali mbalimbali na ndio unaishi hivyo. Ziitwe changamoto, yaitwe mabaya, ziitwe michakato vyovyote tu. Hayo ndiyo maisha.

Muda mwingine hata sio lazima iwe kutoka A kwenda B inaweza kuwa mduara unaojirudia. Nayo pia ni maisha tu. Alimuradi kuwe na mabadiliko ya hali. Muda uwepo na 'uwepo' uwepo.

Maana kinyume na hapo ni tuanzie mwisho tu kwenye entropy 100%. Hapo hata kwa akili ndogo tu inaonekana haimake sense, yaani uwe na uwezo wa kuumba uhai halafu uishie tu kutengeneza wingu la vumbi la entropy 100%!!? La ukubwa wa universe itakakoishia kuexpand😳. Aaah bhana ndo nn sasa?
 
Hapana, yupo na ametoa zawadi ya uhai na kuweka mazingira yanayowezesha kuyaishi maisha.

Ndio maana kila siku uhai unafanya michakato kufikia hali mbalimbali na ndio unaishi hivyo. Ziitwe changamoto, yaitwe mabaya, ziitwe michakato vyovyote tu. Hayo ndiyo maisha.

Muda mwingine hata sio lazima iwe kutoka A kwenda B inaweza kuwa mduara unaojirudia. Nayo pia ni maisha tu. Alimuradi kuwe na mabadiliko ya hali. Muda uwepo na 'uwepo' uwepo.
Nimekutaka utoe uthibitisho Mungu yupo, umeshindwa kuthibitisha, unahubiri imani.

Huo si uthibitisho. Kuhubiri imani yako kwamba Mungu yupo si kuthibitisha Mungu yupo.
 
Nimekutaka utoe uthibitisho Mungu yupo, umeshindwa kuthibitisha, unahubiri imani.

Huo si uthibitisho. Kuhubiri imani yako kwamba Mungu yupo si kuthibitisha Mungu yupo.
Achana na kuthibitisha Mungu yupo..

Je at least nimefanikiwa kuonesha umuhimu wa hayo 'mabaya' katika ulimwengu huu?

Maana kinyume na hapo(kinyume na kuwepo mabaya) ni tuanzie mwisho tu kwenye entropy 100%. Hapo hata kwa akili ndogo tu inaonekana haimake sense, yaani uwe na uwezo wa kuumba uhai halafu uishie tu kutengeneza wingu la vumbi la entropy 100%!!? La ukubwa wa universe itakakoishia kuexpand😳. Aaah bhana ndo nn sasa
 
Achana na kuthibitisha Mungu yupo..

Je at least nimefanikiwa kuonesha umuhimu wa hayo 'mabaya' katika ulimwengu huu?

Maana kinyume na hapo(kinyume na kuwepo mabaya) ni tuanzie mwisho tu kwenye entropy 100%. Hapo hata kwa akili ndogo tu inaonekana haimake sense, yaani uwe na uwezo wa kuumba uhai halafu uishie tu kutengeneza wingu la vumbi la entropy 100%!!? La ukubwa wa universe itakakoishia kuexpand😳. Aaah bhana ndo nn sasa
Siachi kudai uthibitishe Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo kwa sababu hayupo.

Kuhusu umuhimu wa hayo mabaya, unajionesha ulivyo na mawazo madogo tu.

Umesema kuna Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, halafu kajenga nyumba ina mabomu yanalipuka kila siku na kuua viumbe wake anaowapenda. Nakuuliza kwa nini huyu Mungu kajenga nyumba yenye mabomu yanayolipuka kila siku na kuumiza viumbe wake, wakati aliweza kujenga nyumba salama isiyo na mabomu, unaniambia kwamba yale mabomu ni muhimu yanawapa viumbe mazoezi ya kurukaruka na kujenga misuli.

Kwani huyo Mungu wako muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, alishindwa kujenga nyumba isiyo na mabomu, yenye gym tu viumbe wake wakajenga misuli kwenye gym bila kulipuliwa na mabomu?
 
Siachi kudai uthibitishe Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo kwa sababu hayupo.
Ni kweli Mungu hathibitishiki, japo yeye ni dhahiri kabisa kwa wanaoamini.

Halafu usidhani sie ni wajinga unadhani hatuwajui nyie. Nyie mkataao kusudi, mkataao imani ndio nyienyie mkataao hata dhana yenyewe ya 'uthibitisho'

Tukiwa logically consistent tunaona kabisa kuwa yule asiye na uwezo wa kuamini basi hana hata uwezo wa kuthibitisha. Ukishamsikia tu mtu anajinasibu 'hapa hatutaki kuamini, tunataka kujua.... leta uthibitisho hapa' jua tu kwamba anajikosha. Anataka umletee kitu ambacho hakipo hata (kwa mujibu wake pia)

Maana hata kama ubishi ungekuwa ni kuhusu upepo. Mtu wa kusudi atasema unaona miti inavyoyumba, ni kuaudi/sababu upepo unaisukuma. Halafu mtu wa upande wa pili (nyie sasa) atasema kuna entropy miti inaweza yumba kwa sababu inaoza, au ni mvuke au maji yameukumba. Unawezaje kuthibitisha ni upepo?

Lazima imani ihusike kiasi fulani sababu majaribio yote yatakuwa yameacha shaka fulani. Ni ama uamini sababu hiyo, au uviamini vipimo na majaribio yatakayotumika. Imaaani.
Umesema kuna Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote, halafu kajenga nyumba ina mabomu yanalipuka kila siku na kuua viumbe wake anaowapenda. Nakuuliza kwa nini huyu Mungu kajenga nyumba yenye mabomu yanayolipuka kila siku na kuumiza viumbe wake, wakati aliweza kujenga nyumba salama isiyo na mabomu, unaniambia kwamba yale mabomu ni muhimu yanawapa viumbe mazoezi ya kurukaruka na kujenga misuli.

Kwani huyo Mungu wako muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote, alishindwa kujenga nyumba isiyo na mabomu, yenye gym tu viumbe wake wakajenga misuli kwenye gym bila kulipuliwa na mabomu?
Ewaaah hapo tunaelewana. Mfano wako una make sense✅. Mungu anao utashi huru, anaweza amua kufanya kimoja kati ya hivyo au vyote kwa pamoja. Au vingine yeye vingine tufanye sie. We(all of us) make things happen.

Braza kuna namna nyingi za kuwapa mazoezi viumbe, na wakafaidi maisha.
1. Kuweka mabomu ili wazikimbie stimuli mbaya, hapo watakuwa na mazoezi na wataishi.
2. Kuweka asali labda inayoning'inia juu ya paa ili wahangaike kupanda kuzifata hizo tamu zilizo juu hapo watafanya zoezi na wataishi
3. Kwa kutumia elimu hizo mbili na mazoezi waliyofanya kutatua changamoto, watasolve mabomu, watasolve kupata asali halafu watatengeneza gym (creation) wataishi raha mustarehe.

Kumbe kadri watu wanavyoishi wanazidi kushiriki kuitengeneza mbingu. Kwa kujifunza kutokana na wanavyoishi sasa katika changamoto ya hali tofautitofauti. Kwa jina moja iite dhana ya mageuzi/evolution.

So kila kilichowekwa kina kusudi jema katika ujumla wote.
 
Ni kweli Mungu hathibitishiki, japo yeye ni dhahiri kabisa kwa wanaoamini.

Halafu usidhani sie ni wajinga unadhani hatuwajui nyie. Nyie mkataao kusudi, mkataao imani ndio nyienyie mkataao hata dhana yenyewe ya 'uthibitisho'

Tukiwa logically consistent tunaona kabisa kuwa yule asiye na uwezo wa kuamini basi hana hata uwezo wa kuthibitisha. Ukishamsikia tu mtu anajinasibu 'hapa hatutaki kuamini, tunataka kujua.... leta uthibitisho hapa' jua tu kwamba anajikosha. Anataka umletee kitu ambacho hakipo hata (kwa mujibu wake pia)

Maana hata kama ubishi ungekuwa ni kuhusu upepo. Mtu wa kusudi atasema unaona miti inavyoyumba, ni kuaudi/sababu upepo unaisukuma. Halafu mtu wa upande wa pili (nyie sasa) atasema kuna entropy miti inaweza yumba kwa sababu inaoza, au ni mvuke au maji yameukumba. Unawezaje kuthibitisha ni upepo?

Lazima imani ihusike kiasi fulani sababu majaribio yote yatakuwa yameacha shaka fulani. Ni ama uamini sababu hiyo, au uviamini vipimo na majaribio yatakayotumika. Imaaani.

Ewaaah hapo tunaelewana. Mfano wako una make sense✅. Mungu anao utashi huru, anaweza amua kufanya kimoja kati ya hivyo au vyote kwa pamoja. Au vingine yeye vingine tufanye sie. We(all of us) make things happen.

Braza kuna namna nyingi za kuwapa mazoezi viumbe, na wakafaidi maisha.
1. Kuweka mabomu ili wazikimbie stimuli mbaya, hapo watakuwa na mazoezi na wataishi.
2. Kuweka asali labda inayoning'inia juu ya paa ili wahangaike kupanda kuzifata hizo tamu zilizo juu hapo watafanya zoezi na wataishi
3. Kwa kutumia elimu hizo mbili na mazoezi waliyofanya kutatua changamoto, watasolve mabomu, watasolve kupata asali halafu watatengeneza gym (creation) wataishi raha mustarehe.

Kumbe kadri watu wanavyoishi wanazidi kushiriki kuitengeneza mbingu. Kwa kujifunza kutokana na wanavyoishi sasa katika changamoto ya hali tofautitofauti. Kwa jina moja iite dhana ya mageuzi/evolution.

So kila kilichowekwa kina kusudi jema katika ujumla wote.
Blah, blah, blah.

I will keep it simple and to the point.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huelewi problem of evil. Sijui hata kama unataka au una uwezo wa kuelewa.

Kuchwizzy Kakuelezea vizuri sana kwenye post # 2284. Lakini inaonekana hutaki kuelewa au huna uwezo wa kuelewa.

Hujaondoa contradictions katika dhana ya kuwepo huyo Mungu.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo na ondoa contradictions katika dhana ya kuwapo kwake.

At this point you are starting to bore me by becoming an insufferable ignorant pest.

You are not addressing the deep philosophical questions, you are just regurgitating your ignorant talking points.

I frankly do not see any point in engaging you, you seem to have chosen to believe in God regardless of reason.

Kama hutaki kuelewa au huna uwezo wa kuelewa, kwa nini niendelee kujibizana nawe?
 
Blah, blah, blah.

I will keep it simple and to the point.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huelewi problem of evil. Sijui hata kama unataka au una uwezo wa kuelewa.

Kuchwizzy Kakuelezea vizuri sana kwenye post # 2284. Lakini inaonekana hutaki kuelewa au huna uwezo wa kuelewa.

Hujaondoa contradictions katika dhana ya kuwepo huyo Mungu.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo na ondoa contradictions katika dhana ya kuwapo kwake.

At this point you are starting to bore me by becoming an insufferable ignorant pest.

You are not addressing the deep philosophical questions, you are just regurgitating your ignorant talking points.

I frankly do not see any point in engaging you, you seem to have chosen to believe in God regardless of reason.

Kama hutaki kuelewa au huna uwezo wa kuelewa, kwa nini niendelee kujibizana nawe?
Sure thing about me not evidently confirming a God. I Can't. Na nilikuonya tangu mwanzo tuachane na kuombana uthibitisho wa Mungu it was futile. Challenge sio kwangu tu mimi kuupata, hata kwako kuweza kuung'amua.

..
..

To me if I may describe my status: because this had a bigger purpose in spreading the Word (Logus) of God. It was never boring...... challenging it was but boring NO. Purpose bro.

It took my energy, time, destroyed my money, consumed my MBs and more but I won't say it was an evil bad thing. I won't ask God to get rid of all non believers. Never. Why do we have to live among non believers? It has a purpose. With purpose, everything is good at its time.

Ecclesiastes 3 : 1
To all things there is an appointed time, and a time to euery purpose vnder the heauen.

Mhubiri 3:1-8 SRUVDC
Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

I see. Lets stop here for today. Labda huu ndio wakati wa kuacha kujibizana kuhusu hili.
 
Kiranga, mbona hujiamini na haya maisha, whether hutaki au lah inaonekana nafsi yako inateseka na Dunia hususani kipengele cha uwepo wa Mungu.
Toka miaka nenda rudi unateseka na hili jambo, hii inaonyesha hata huko ulipo hupaelewi kwa hiyo nafsi yako inatafuta faraja huko kwa kuoatiwa udhibitisho,kama kweli ungekuwa umeshiba ungewaachia wenye Imani zao waendelee nazo.
Kifupi hunatifauti na wale wanaotangatanga kila kabisa.
Pole sana bwana Kiranga usije ukafa mdomo wazi.
 
Kiranga, mbona hujiamini na haya maisha, whether hutaki au lah inaonekana nafsi yako inateseka na Dunia hususani kipengele cha uwepo wa Mungu.
Toka miaka nenda rudi unateseka na hili jambo, hii inaonyesha hata huko ulipo hupaelewi kwa hiyo nafsi yako inatafuta faraja huko kwa kuoatiwa udhibitisho,kama kweli ungekuwa umeshiba ungewaachia wenye Imani zao waendelee nazo.
Kifupi hunatifauti na wale wanaotangatanga kila kabisa.
Pole sana bwana Kiranga usije ukafa mdomo wazi.
Kwa nini unaona mimi kuweka hapa hoja ya kifalsafa iliyokuwepo kwa maelfu ya miaka kabla sijazaliwa, na itakayoendelea kuwepo baada ya mimi kufa, ni suala langu mimi binafsi kutojiamini na haya maisha?

Kutojiamini kunakujaje hapa?

Unaposema ninateseka, ninateseka vipi wakati mimi naishi maisha yangu bila ya hofu ya Mungu ambaye hayupo?

Kwa nini Watanzania wengi hawajui kufikiri kwa fikra dhahania, abstract thinking, na wakipewa hoja ya kifalsafa, wanaanza kui personalize kwa yule mtoa hoja?

Huu ni ujinga au ni makusudi?

Unaelewa kuwa umeacha kuijadili hoja, umeanza kumjadili mtoa hoja?

Unaelewa hii ni logical fallacy ya ad hominem attack?

Unaelewa hata logical fallacy ni nini?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujaondoa contradictions katika dhana ya kuwapo Mungu.

Umenishambukia kwa ad hominem attack na hoja za kijinga tu.
 
Sure thing about me not evidently confirming a God. I Can't. Na nilikuonya tangu mwanzo tuachane na kuombana uthibitisho wa Mungu it was futile. Challenge sio kwangu tu mimi kuupata, hata kwako kuweza kuung'amua.

..
..

To me if I may describe my status: because this had a bigger purpose in spreading the Word (Logus) of God. It was never boring...... challenging it was but boring NO. Purpose bro.

It took my energy, time, destroyed my money, consumed my MBs and more but I won't say it was an evil bad thing. I won't ask God to get rid of all non believers. Never. Why do we have to live among non believers? It has a purpose. With purpose, everything is good at its time.

Ecclesiastes 3 : 1
To all things there is an appointed time, and a time to euery purpose vnder the heauen.

Mhubiri 3:1-8 SRUVDC
Kwa kila jambo kuna majira yake, Na wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu.

I see. Lets stop here for today. Labda huu ndio wakati wa kuacha kujibizana kuhusu hili.
Unahubiri dini, kwa mistari ya Biblia, kitabu kilichojaa contradictions.

Mimi sina muda wa kujibizana na wahubiri wa dini ambao wanaenda kwa imani na hawataki reason wala fact.
 
Kwa nini unaona mimi kuweka hapa hoja ya kifalsafa iliyokuwepo kwa maelfu ya miaka kabla sijazaliwa, na itakayoendelea kuwepo baada ya mimi kufa, ni suala langu mimi binafsi kutojiamini na haya maisha?

Kutojiamini kunakujaje hapa?

Unaposema ninateseka, ninateseka vipi wakati mimi naishi maisha yangu bila ya hofu ya Mungu ambaye hayupo?

Kwa nini Watanzania wengi hawajui kufikiri kwa fikra dhahania, abstract thinking, na wakipewa hoja ya kifalsafa, wanaanza kui personalize kwa yule mtoa hoja?

Huu ni ujinga au ni makusudi?

Unaelewa kuwa umeacha kuijadili hoja, umeanza kumjadili mtoa hoja?

Unaelewa hii ni logical fallacy ya ad hominem attack?

Unaelewa hata logical fallacy ni nini?

Hujathibitisha Mungu yupo.

Hujaondoa contradictions katika dhana ya kuwapo Mungu.

Umenishambukia kwa ad hominem attack na hoja za kijinga tu.
Punguza makasiriko, hoja ipo moyoni mwako yakuwa hakuna Mungu kwa wengine kuna Mungu, kama ilikuwepo kwa maelfu ya miaka na majibu unayo kwamba hakuna Mungu sasa unatafuta udhibitisho gani toka kwa wanaoamini ilihali wewe unajua hayupo, nafsi yako inataabika hata kule ilipo bado haina uhakika kwa kutokuwepo Mungu inajaribu kutafuta majibu upande wa pili.
Hizo hoja zitaendelea kuwepo kwa sababu hata huo Ubongo ulinao bado unajisoma wenyewe na kuhalalisha majibu.
Hiki ulicholeta hapa utongea maneno yote yaliyopo na uliyoyakuta kwa sababu Ubongo wako ulijazwa vitu na aliekuwa na Ubongo kama wewe Sasa upande ulipo bado huna uhakika hivyo unatafuta majibu upande wa pili.
Wewe level yako ni hii sayari uwezi toka nje ya hili boksi hata unye mawe bwana Kiranga

Mwisho Mungu yupo kwa level yako hutakaa ubadilishe kichwa kiwe mguu.
 
Punguza makasiriko, hoja ipo moyoni mwako yakuwa hakuna Mungu kwa wengine kuna Mungu, kama ilikuwepo kwa maelfu ya miaka na majibu unayo kwamba hakuna Mungu sasa unatafuta udhibitisho gani toka kwa wanaoamini ilihali wewe unajua hayupo, nafsi yako inataabika hata kule ilipo bado haina uhakika kwa kutokuwepo Mungu inajaribu kutafuta majibu upande wa pili.
Hizo hoja zitaendelea kuwepo kwa sababu hata huo Ubongo ulinao bado unajisoma wenyewe na kuhalalisha majibu.
Hiki ulicholeta hapa utongea maneno yote yaliyopo na uliyoyakuta kwa sababu Ubongo wako ulijazwa vitu na aliekuwa na Ubongo kama wewe Sasa upande ulipo bado huna uhakika hivyo unatafuta majibu upande wa pili.
Wewe level yako ni hii sayari uwezi toka nje ya hili boksi hata unye mawe bwana Kiranga

Mwisho Mungu yupo kwa level yako hutakaa ubadilishe kichwa kiwe mguu.
Bado hujadili hoja, unamjadili mtoa hoja.

Ad hominem logical fallacy.
 
Mungu angekuwepo,(mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) tusingekunya wala kufa.

Tunakunya na kufa kwa sababu Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
Hivi kufa Ndio miongoni mwa sababu kuu ya kusema Mungu hayupo,

Hebu nipe swali gumu Moja tu , nikalichunguze,au nikalifikirie.

Maana kufa Hilo Kwa Wenye Imani linajibika
 
Mungu angekuwepo,(mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote) tusingekunya wala kufa.

Tunakunya na kufa kwa sababu Mungu hayupo.

Unaelewa hilo?
Hivi kufa Ndio miongoni mwa sababu kuu ya kusema Mungu hayupo,

Hebu nipe swali gumu Moja tu , nikalichunguze,au nikalifikirie.

Maana kufa Hilo Kwa Wenye Imani linajibika
 
Hivi kufa Ndio miongoni mwa sababu kuu ya kusema Mungu hayupo,

Hebu nipe swali gumu Moja tu , nikalichunguze,au nikalifikirie.

Maana kufa Hilo Kwa Wenye Imani linajibika
Mimi sijaleta hoja ya kufa, nilikuwa namjibu tu "ngosha wa mwanza".

Jaribu kufuatilia majibizano utaweza kuelewa.

Kama unaweza, jibu Epicurean Paradox utueleze imekuwaje Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea.

epicurean_paradox.jpg
 
Bado hujadili hoja, unamjadili mtoa hoja.

Ad hominem logical fallacy.
Hakuna argument hapo unajibu lako ulipojanzwa na hutaki kupasadiki unatafuta majibu kwa negative attitude upande wa pili.
Siku ukigeuza kichwa mguu njoo tujadili.
 
Hakuna argument hapo unajibu lako ulipojanzwa na hutaki kupasadiki unatafuta majibu kwa negative attitude upande wa pili.
Siku ukigeuza kichwa mguu njoo tujadili.
Mimi najadili hoja.

Wewe unanijadili mimi.

Hatuwezi kuelewana.
 
Back
Top Bottom