Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Nyamsusa JB, Kwan mkuu hii mpya itahold mabasi kiasi gani na ya zamani ilikuwa inahold kiasi gani?
Wajenge ya kwao kivip wakati na wao wapo mwanza,hii ni sawa na kusema kibamba wajenge stendi yaoIkiwekwa usagara, usagara nao wakitaka kujenga ya kwao wakajenge wapi?
Chief Mwanza inakua kwa kasi sana Usagara soon itakua ndani ya jiji na hata miji mingine iliyopo kandokando kama kisesa hata mpaka Magu hivyo Mipango miji wanatakiwa wewe na broad vision plan ya miaka hata angarau 50 years to come.
Unataka stendi ijengwe usagara.... Na majority ya watumiaji ni wakazi wa jiji.. Unataka watu wanaotoka mbali kama igoma,kisesa nk kwenda kupanda magari saa kumi na moja hadi huko usagara wamiss usafiri
Kuna watu Mimi siwaelewi kabisa wanataka stendi ijengwe usagara, sgr station ijengwe fela, ukiwauliza szbabu eti foleni, mfano mzuri kwa sasa stendi iko nyegezi je foleni kubwa iko wapi, jibu ni Kati mza mjini na nyegezi sehemu ambako basi hazipiti, watu wakisikia kupanua mji sio huduma zote zinatoka katikati ya mji, miji ya ulaya stendi ziko mjini na ndio maana hukuti guest house maeneo ya stendi, kwetu wanataka stendi iwe usagara kwa szbabu binafsi,, mwingine anataka aweke guest house au kirestaurant nia ni kuwakamua wasafiri na si kuwasaidia,Eti bwana. Yaani ukienda nchi za ulaya stendi ziko katikati kabisa ya miji. Halafu sisi tunataka tuziweke nje.
Mmhhhh mbona makubwa haya , nan aende mvomero sasa?Nakubaliana nawewe. Hakuna kitu kibaya kama kufikia stendi ya mbali na mji, halafu unaanza kubanana kwenye vidaladala na mizigo yako kutafuta mji ulipo. Stendi zote mabasi na station za reli Ulaya ziko mjini kati. Hao planners wetu hawajifunzi tu?Mbona wengine wamesomea huko lakini? Hivi unajua hata ile stendi ya Msamvu kuna watu walikuwa wameshapanga ihamishiwe huko Mvomero?
itakuwa imehamishwa kwa mudaHivi mradi uliishia wapi manake majuzi napita hapo naona
Ngokongosha,
Nakubaliana nawewe. Hakuna kitu kibaya kama kufikia stendi ya mbali na mji, halafu unaanza kubanana kwenye vidaladala na mizigo yako kutafuta mji ulipo. Stendi zote mabasi na station za reli Ulaya ziko mjini kati. Hao planners wetu hawajifunzi tu?Mbona wengine wamesomea huko lakini? Hivi unajua hata ile stendi ya Msamvu kuna watu walikuwa wameshapanga ihamishiwe huko Mvomero?
Mzee wa Petro Station Usagara hujambo!
Ni kweli unachosema, ingawa miji inaweza kuamua vinginevyo ndani ya miaka 5-10 ijayo.
Ili maisha yaendelee Stand mpya Nyegezi kwa baadae inaweza kubadilishwa kuwa ni ya daladala alafu stand kuu ya mabasi ikapelekwa Ukirugulu.
Mipango tofauti na kuangalia mambo mengine lakini ni wajibu pia kuangalia na usalama wa Wasafiri/miundombinu/kulala/kula n.k
Vuta subra Nyamsusa usijali kwa sasa fikiria uwekezaji Ukirugulu, Misungwi, na Misasi.