Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Hii ni stendi iliyopo katika Wilaya ya HAI mkoani Kilimanjaro, mahala panapojulikana kwa jina la Boma Ng'ombe, Stendi hii inamashimo shimo ambayo sio rafiki kwa watumiaji wa stendi hii.
Pia stendi hii ni chafu, imezagaa taka za vifungashio vya Chakula na Bidhaa mbalimbali.
Mamlaka ichukue hatua juu ya stendi hii ni aibu, kwa watalii wanaoenda Chemsha Hot Spring ya Boma
Pia soma: Kilimanjaro: Madereva wa mabasi na Costa watishia kugoma kutokana na ubovu wa Stendi ya Bomang'ombe
Pia stendi hii ni chafu, imezagaa taka za vifungashio vya Chakula na Bidhaa mbalimbali.
Mamlaka ichukue hatua juu ya stendi hii ni aibu, kwa watalii wanaoenda Chemsha Hot Spring ya Boma
Pia soma: Kilimanjaro: Madereva wa mabasi na Costa watishia kugoma kutokana na ubovu wa Stendi ya Bomang'ombe