Nyumbu wengi ndiyo wanaelewa sasaHata Mimi nilikua na mponda siku hizi ndo namuelewa Kama alivyosema tutamkumbuka mwamba wa Africa
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Hapa nyumbu anajiona ametoa hoja sasawe kwa ushamba wako wa Maswa inaonekana kabisa hujafika uwanja wa ndege. Inaonekana ni mfu unayetembea, maana kila siku ni kuongelea habari za wafu. Jitundike tu ujiunge na wafu wenzio. Stand imejengwa kwa kodi za watanzania. huyo marehemu wako mafao yake wanakula familia yake hakuna senti imetumika kujenga hiyo stand
SawaSafiiii sana
Na ninye warundi wenye akili ndogo?,mwisho wa akili zenu ukoje?Hahahaha hapa ndio mwisho wa akili nyingi za Watanzania
Na ninye warundi wenye akili ndogo?,mwisho wa akili zenu ukoje?
Si inaitwa NYEGEZIKwa nini
Unawaza ngono tuSi inaitwa NYEGEZI
Wasukuma muitunze sasa stendi yenu sio baada ya miezi sita stendi inamejaa uchafu na mavi tupu.
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Lucas mwashambwa anasemaje kwani? Hebu tusikie maoni yake
Nyegezi ni ngono?Unawaza ngono tu
Nasema kwamba Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kwa makusudi maalumu,Ni zawadi ipendezayo ndani ya Taifa letu, Ni zawadi ambayo yeyote ikiitazama lazima apate matumaini,faraja,furaha ,amani na Tabasamu Katika moyo wake.Lucas mwashambwa anasemaje kwani? Hebu tusikie maoni yake
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.
Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.
Hivi unaakili timamu kweli?HIi ni miradi yakifisadi ya dikteta Magufuli