Stendi mpya ya mabasi Nyegezi yaanza kazi, ni zaidi ya Airport

Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


we kwa ushamba wako wa Maswa inaonekana kabisa hujafika uwanja wa ndege. Inaonekana ni mfu unayetembea, maana kila siku ni kuongelea habari za wafu. Jitundike tu ujiunge na wafu wenzio. Stand imejengwa kwa kodi za watanzania. huyo marehemu wako mafao yake wanakula familia yake hakuna senti imetumika kujenga hiyo stand
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Samia Suluhu Hassan hakwenda kuizundua?

Maana Rais wetu ni "Rais wa uzinduzi" na kumpokea ndege, kuzindua tenki la maji, kufungua stendi ya bus na hiace!!
 
we kwa ushamba wako wa Maswa inaonekana kabisa hujafika uwanja wa ndege. Inaonekana ni mfu unayetembea, maana kila siku ni kuongelea habari za wafu. Jitundike tu ujiunge na wafu wenzio. Stand imejengwa kwa kodi za watanzania. huyo marehemu wako mafao yake wanakula familia yake hakuna senti imetumika kujenga hiyo stand
Hapa nyumbu anajiona ametoa hoja sasa
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


Lucas mwashambwa anasemaje kwani? Hebu tusikie maoni yake
 
Lucas mwashambwa anasemaje kwani? Hebu tusikie maoni yake
Nasema kwamba Rais Samia Ni zawadi kwetu watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu Sana,Ni zawadi tuliyopewa na Mwenyezi MUNGU kwa makusudi maalumu,Ni zawadi ipendezayo ndani ya Taifa letu, Ni zawadi ambayo yeyote ikiitazama lazima apate matumaini,faraja,furaha ,amani na Tabasamu Katika moyo wake.

Viongozi aina ya Rais Samia hujankwa nadra Sana hapa Duniani ,hawazaliwi kila siku na hawapatikani kila mahali.

Hakuna mradi utakaoshindikana au ambao hautamalizwa au kutekelezwa katika uongozi wa Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania,faraja ya wanyonge, Tumaini la waliokata Tamaa na nuru kwa waliogizani mh mama Samia suluhu Hassani mzalendo wa kweli,Jasiri muongoza njia,mama wa shoka,kiongozi shupavu na madhubuti.
 
Stendi mpya ya mabasi ya Nyegezi jijini Mwanza imeanza kazi rasmi leo tarehe 5/6/2023 huku uzuri wake ukiwaacha hoi wananchi na kusema iko vizuri zaidi ya viwanja vingi vya ndege.

Ikumbukwe jiwe la msingi la ujenzi wa stendi hii liliwekwa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano Hayati Magufuli, hivyo wananchi wamemlilia tena kwenye uzinduzi wa stendi hii na kusema bila Magufuli kuwa Rais huenda ingewachukua miaka 50 kwa jiji la Mwanza kujengewa stendi nzuri kiasi hiki.


HIi ni miradi yakifisadi ya dikteta Magufuli
 
Back
Top Bottom