Stay away from Bitcoin crazy

Stay away from Bitcoin crazy

Kupanda na kushuka ndipo biashara ilipo, ukiwa vizuri ktk analysis utatengeneza faida kubwa ikiwa inashuka kwa kuuza.

Baada ya kumark resistance ,kinachofuata ni kutafuta new support.

Tatizo la traders wengi duniani wanaamini kama ni uptrend basi itaendelea mpaka mawinguni,ukweli market haiko hivyo ,iwe ni cryptos ,stocks , forex or commodities.

Ni muhimu kijelimisha vya kutosha kabla ya kufanya biashara za mtandaoni,wengi wanafanya kwa kufuata mkumbo na wanadhani hizi ni biashara rahisi wakati ukweli si rahisi,zinahitaji knowledge isiyo ya kubahatisha
 
Kabisa Mkuu watu wanataka utajiri wa haraka haraka hata kutumia akili japo kiduchu tu hawataki!!!

Yaan kuna vitu havihitaj ata elimu ya darasan kuvistukia. Ivi unaanzaje kufnya biashara na watu wa online hawana ofisi?? Je huwez kufkiria kama kuna cku wanazima system utawapata wapi??
 
Want to know about

*BITCOIN*


A lot of monkeys lived near a village.

One day a merchant came to the village to buy these monkeys!

He announced that he will buy the monkeys @ $100 each.

The villagers thought that this man is mad.

They thought how can somebody buy stray monkeys at $100 each?

Still, some people caught some monkeys and gave it to this merchant and he gave $100 for each monkey.

This news spread like wildfire and people caught monkeys and sold it to the merchant.

After a few days, the merchant announced that he will buy monkeys @ 200 each.

The lazy villagers also ran around to catch the remaining monkeys!

They sold the remaining monkeys @ 200 each.

Then the merchant announced that he will buy monkeys @ 500 each!


The villagers start to lose sleep! ... They caught six or seven monkeys, which was all that was left and got 500 each.

The villagers were waiting anxiously for the next announcement.

Then the merchant announced that he is going home for a week. And when he returns, he will buy monkeys @ 1000 each!

He asked his employee to take care of the monkeys he bought. He was alone taking care of all the monkeys in a cage.

The merchant went home.

The villagers were very sad as there were no more monkeys left for them to sell it at $1000 each.☹

Then the employee told them that he will sell some monkeys @ 700 each secretly.

This news spread like fire. Since the merchant buys monkey @ 1000 each, there is a 300 profit for each monkey.

The next day, villagers made a queue near the monkey cage.

The employee sold all the monkeys at 700 each. The rich bought monkeys in big lots. The poor borrowed money from money lenders and also bought monkeys!


The villagers took care of their monkeys & waited for the merchant to return.

But nobody came! ... Then they ran to the employee...

But he has already left too !

The villagers then realised that they have bought the useless stray monkeys @ 700 each and unable to sell them!
The Bitcoin will be the next monkey business


It will make a lot of people bankrupt and a few people filthy rich in this monkey business.

That' how it will work

no one can stop bitcoin
hii message mtumie bill gate maana na yeye ameinvest bilion of USD
 
bitcoin inapanda na kushuka kila siku....si ajabu kesho ikapanda mpaka kufikia $30,000......naifuatilia kila siku mkuu wangu hicho n kitu kilichotegemewa hakuna jipya
Bitcoin kushuka au kupotea hyo tusahau Japan wabatumia km fedha ya nch kwa matumiz na ipp tokea 2008 hii ni mwanzo mwsho
 
Kupanda na kushuka ndipo biashara ilipo, ukiwa vizuri ktk analysis utatengeneza faida kubwa ikiwa inashuka kwa kuuza.

Baada ya kumark resistance ,kinachofuata ni kutafuta new support.

Tatizo la traders wengi duniani wanaamini kama ni uptrend basi itaendelea mpaka mawinguni,ukweli market haiko hivyo ,iwe ni crypto ,stocks , forex or commodities
yes chief watu wanataka graph ipande tu kama x=y graph bila ups and downs na ikidrop kidogo wanaona ni utapeli.
 
Mkuu BAK naamin kabisa wewe ni mtu smart sana,

Na kabla ya kufanya chochote huwa unajiridhisha kwanza kwa data na kautafiti kidogo,

Unanisikitisha sana unaposema huu ni utapeli,

Nilitegemea ulete graph za bitcon kila mwezi december na january ili ulinganishe na kinachoendelea sasa

Mwishoni mwa mwaka na mwanzoni mwaka bitcon huwa inashuka sijajua kwanini

Kiuhalisia bitcoin huenda mpaka April 2018 itakuwa ipo juu sasa probably $30000,

Nakwenda kukutafutia data sheikh wangu
Itakua wanatoa hela zao kwa ajili ya school fees January
 
yes chief watu wanataka graph ipande tu kama x=y graph bila ups and downs na ikidrop kidogo wanaona ni utapeli.
Tatizo hawapendi kujielimisha,laiti wangekuwa na taarifa sahihi huwezi shangaa market ikitafuta support baada ya kumark new resistance
 
Bitcoin haina tofauti na Ponzi Scheme.
Ni wapumbavu na malofa ndio watakaoingia katika huu mkenge.
Enyi majuha, fanyeni utafiti na kujisomea articles mbalimbali zinazohusu hii kitu inayoitwa "PONZI SCHEME" inaweza kuwasaidia kuepuka na maumivu huko mbeleni.
Yaan ww ni msomi au mtu wa kukariri ujuha wako utakufanya uish maisha ya shda hd unakufa wenzio wanatoboa kuna vitabu vn vimeandk hbr ya bitcoin km hujui kaa kmya usijufanye unajua kila kitu alfu unspotosha watu
 
Hii inaweza kuporomoka zaidi kwani wengi machale yameshawacheza hii kitu ni utapeli tu. Watu watacheza nayo mbali na hivyo kusababisha kasi ya kuporomoka iwe kubwa sana. Ngoja tusubiri tuone muelekeo.
Bitcoin is fueled with black market activities.... Illicity drugs, illegal sale of arms and all sorts of traffickers use bitcoin as a safe haven!
 
Dah! Juzi tu hapa nilimweleza Luhanyula faida na hasara za Bitcoin kwamba anguko la cku moja tu linaweza kukufanya upite kuwapa shikamoo watoto!
Brother chige asante brother kuna jamaa yangu mmoja hivi anafanya hii BTC naona kupata dola 50 mpaka 100 kwa siku nikitu chakawaida.Nami nilitaka niingie nikahofu,ndio nikaiona pia forex humu nipo nasomasoma vitabu ingawa nayo pia bado nahofu.
 
We don't stay

We read the bearish candlesticks

Then tunashuka nayo, we sell them !

Those who don't understand the rules of the game are the ones bluffing out here !

Hallah forexcrypto champs !
 
Acha walizwe ndiyo watatia akili kichwani.
Kaka wew ninakukubali lkn katika sikubaliani nawe kabisa.
Tunza hii post kuwa tukivuka mwaka mpya BITCOIN ITAPANDA HADI $30,000
tusibishane tusubirie muda utuamue kaka.
Huwezi kujua kila kitu kama hili hulikubali wengine wanafaidi au hata wengine waliingia kipindi kibaya kama hiki nao wamelia, lkn watakaovumilia kipindi hiki next year watavuta mpunga mrefu.
Bado sijawekeza huko lkn naelewa kinachoendelea na natamani niingie kipindi hiki cha mdororo
 
Ngoja siku Trump akiiongelea tuone itavyo dondoka
 
Want to know about

*BITCOIN*


A lot of monkeys lived near a village.

One day a merchant came to the village to buy these monkeys!

He announced that he will buy the monkeys @ $100 each.

The villagers thought that this man is mad.

They thought how can somebody buy stray monkeys at $100 each?

Still, some people caught some monkeys and gave it to this merchant and he gave $100 for each monkey.

This news spread like wildfire and people caught monkeys and sold it to the merchant.

After a few days, the merchant announced that he will buy monkeys @ 200 each.

The lazy villagers also ran around to catch the remaining monkeys!

They sold the remaining monkeys @ 200 each.

Then the merchant announced that he will buy monkeys @ 500 each!


The villagers start to lose sleep! ... They caught six or seven monkeys, which was all that was left and got 500 each.

The villagers were waiting anxiously for the next announcement.

Then the merchant announced that he is going home for a week. And when he returns, he will buy monkeys @ 1000 each!

He asked his employee to take care of the monkeys he bought. He was alone taking care of all the monkeys in a cage.

The merchant went home.

The villagers were very sad as there were no more monkeys left for them to sell it at $1000 each.☹

Then the employee told them that he will sell some monkeys @ 700 each secretly.

This news spread like fire. Since the merchant buys monkey @ 1000 each, there is a 300 profit for each monkey.

The next day, villagers made a queue near the monkey cage.

The employee sold all the monkeys at 700 each. The rich bought monkeys in big lots. The poor borrowed money from money lenders and also bought monkeys!


The villagers took care of their monkeys & waited for the merchant to return.

But nobody came! ... Then they ran to the employee...

But he has already left too !

The villagers then realised that they have bought the useless stray monkeys @ 700 each and unable to sell them!
The Bitcoin will be the next monkey business


It will make a lot of people bankrupt and a few people filthy rich in this monkey business.

That' how it will work
duuuh! watu wanakaa wanafikiria mifano rahisi ya kufafanua hili jambo kama kiuhalisia iko hivyo nashauri watu wauze mapema na kusepa
 
Hizi data za kukurupa na kutocopia huko na kuja kupaste apa bila ata kuzichambua ni Ujuha, Mwezi September 1 Btc ilikuwa ni 9million TZS leo December 23 Muda huu ninapo type 1 Btc ni 31 Million Tzs bado mtu anadai imeshuka hahaha, Ivi shule mlienda kusomea Ujinga??(In FF voice) Juzi apa 1btc ilifika mpaka 40mill Tzs, Afu jamaa nilipokuona Umekurupa Eti sijui unasema watatafutwa wazilishi haha sio kila kitu lazima uandike kwa kujuza tu Cryptocurrency hii bitcoin founder wake wala hajawah kufahamika hii decentralised currency japo apo title yake.

Anyway Nakukaribisha Umwage POVU jingi ili nifulie boxer zangu
 
Dah sisi ngoja tuendelee kubeba zege izo bitcoin chezeni nyiny
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu BAK naamin kabisa wewe ni mtu smart sana,

Na kabla ya kufanya chochote huwa unajiridhisha kwanza kwa data na kautafiti kidogo,

Unanisikitisha sana unaposema huu ni utapeli,

Nilitegemea ulete graph za bitcon kila mwezi december na january ili ulinganishe na kinachoendelea sasa

Mwishoni mwa mwaka na mwanzoni mwaka bitcon huwa inashuka sijajua kwanini

Kiuhalisia bitcoin huenda mpaka April 2018 itakuwa ipo juu sasa probably $30000,

Nakwenda kukutafutia data sheikh wangu
Ka copy uko na kupaste leo 1 btc ni 31m tsh September ilikuwa 1 btc ni 9m
 
wewe ndio mpumbavu wa kiwango cha lami kenge wewe hujui chochote kuhusu bitcoin mbwa wewe we unaokota habariza kwenye google na kutuletea huku mimi bitcoin ninazo na soko lake nalijua pumbavu wewe
Mkuu jamaa mpuuze hajui ata soko linaendaje, Ameokoteza uko article kaja kupaste apa anadhani kila mtu ni kilaza umu, Mimi pia nina hold bitcoin na nalijua soko, Jamaa hana hoja wala kujua kinachoendelea
 
Back
Top Bottom