Singo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,208
- 1,154
Kupanda na kushuka ndipo biashara ilipo, ukiwa vizuri ktk analysis utatengeneza faida kubwa ikiwa inashuka kwa kuuza.
Baada ya kumark resistance ,kinachofuata ni kutafuta new support.
Tatizo la traders wengi duniani wanaamini kama ni uptrend basi itaendelea mpaka mawinguni,ukweli market haiko hivyo ,iwe ni cryptos ,stocks , forex or commodities.
Ni muhimu kijelimisha vya kutosha kabla ya kufanya biashara za mtandaoni,wengi wanafanya kwa kufuata mkumbo na wanadhani hizi ni biashara rahisi wakati ukweli si rahisi,zinahitaji knowledge isiyo ya kubahatisha
Baada ya kumark resistance ,kinachofuata ni kutafuta new support.
Tatizo la traders wengi duniani wanaamini kama ni uptrend basi itaendelea mpaka mawinguni,ukweli market haiko hivyo ,iwe ni cryptos ,stocks , forex or commodities.
Ni muhimu kijelimisha vya kutosha kabla ya kufanya biashara za mtandaoni,wengi wanafanya kwa kufuata mkumbo na wanadhani hizi ni biashara rahisi wakati ukweli si rahisi,zinahitaji knowledge isiyo ya kubahatisha













Then they ran to the employee...






