Hatuko kiuhasama ki hivyo tunaweza hata kujenga ikulu kwa afisa mtendaji wa kijiji, na tuka share ugali na kachumbali na mkuu...kwanini jimbo la washington DC ambapo ndio ipo ikulu ya marekaniii kumetawaliwa na majengo mafupi mafupi ukilinganishaa na miji mingine kama calfornia ,las vergas ambayo nature ya majengo ya maeneo haya ni marefu