Huyo ana principles mbili ikiwa ni minimum qualification za kujiunga na elimu ya juu. ila ishu ya kupata mkopo hapo ndipo patamu.wakuu naombeni msaada,nna mdogo wangu wa kiume kamaliza form six mwaka huu kapata divition three points 17 ,HGL-(hist-f,Geog-d na lang-e) je ataweza kujiunga na diploma course yoyote atakayounganisha na bachela baadaye! Nawakilisha!!!