Hanihudumii ila yeye anataka nimhudumie. Naombeni ushauri wenu hii ni ndoa au ni nini?

RUJEINER

Senior Member
Jan 18, 2018
129
152
Habari wanajamvi...

Mimi ni binti wa 21yrs na ni mwanafunzi pia 3rd year now (BA.education).

Katika harakati zangu za masomo mpaka kufika form six sikuwahi kujihusisha na mapenzi.. ila nilipofika form 6 nilianzisha uhusiano na mtu ambae pia alikuwa ni mwanafunzi (now kamaliza diploma in medical laboratory) mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana for the first time na niliona ana deserve kuwa baba watoto kwa baadae...

Baada ya kuanza chuo mahusiano yetu yaliendelea kuwa mazuri japo alikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya kusalitiwa niwapo chuo na wivu ulimzidi mpaka kufikia kuwa anakagua simu yangu na kutaka kujua kila contact ya jina la kiume ni nani. Kiukweli sikuwa comfortable kuwa na urafiki wowote na boys wa chuoni kwetu maana niliogopa sana kuharibu uhusiano wetu...

Alivyoona kuwa anaweza nipoteza alinambia kuwa anataka kunioa na kama sitaki kuolewa nae basi tuachane...

Mimi nilikataa kuolewa kwasababu niliona bado nasoma, pili maisha yetu wote bado ni wanafunzi so haitaleta maana kama tutawahi kuanzisha familia.. pia uwezo wa kujikimu bado mdogo.. nilimwambia kama tunaachana tuachane.. na baada ya kumwambia hivo tulikaa mwezi bila kuongea kila mtu akifanya mambo yake..

Upande wangu nilijua tumeshamalizana na nilikaa mda nikiwa peke yangu.. na baadae niliamua kuanzisha uhusiano mpya na mtu mwingine ambae tupo nae chuo tunashare masomo.... Nilimpenda sana huyu mpya kuliko wa zamani na up to now nampenda pia.

Baada ya yule jamaa kuona nna uhusiano mpya alienda kwa dada zangu na baadhi ya ndugu zangu kusema kuwa nadanganywa na wahuni wa chuo na akaomba kuwa ni bora anioe.. ndugu zangu walimkubali sana na wakaniambia ni lazma niolewe nae.. nilijaribu kuwaeleza shida ntazopata ila wao walijua chuo kishaniharibu ni bora waniozeshe..

Nilikubali kishingo upande hivohivo kweli tukaoana mwaka jana mwezi wa 7 .. maisha yalienda vizur kwa mwanzo ila sasa imekuwa viceversa...

Alikuwa amepanga ila kodi zilimshinda kulipa nikawa nalipa mimi, vyakula baadhi nikawa nanunua mimi na kuweka ndani.. kwakuwa wazazi wangu walinipaga kiwanja na kwa jitihada zangu binafsi wakati nipo nikisubiri kuanza chuo nilibahatika kufanya kazi na kujenga chumba kimoja na sebule na hivi sasa tumehamia hapo...

Kinachoniumiza kichwa ni kuwa hanipi matumizi ya kula per day, kazi zake sizielewi mara aache mara afanye, najilisha mimi na wakati mwingine narudi nyumbani kukaa kwa muda...

Naombeni ushaur wenu hii ni ndoa au ni nini??? Napata wakat mgum maana HANIHUDUMII ila huduma zake yeye anazitaka nimtimizie ...
 
Bila shaka huyo mmeo anaitwa Jona....

Alishawahi date na ex wangu.
Habari wanajamvi...

Mimi ni binti wa 21yrs na ni mwanafunzi pia 3rd year now (BA.education).

Katika harakati zangu za masomo mpaka kufika form six sikuwahi kujihusisha na mapenzi.. ila nilipofika form 6 nilianzisha uhusiano na mtu ambae pia alikuwa ni mwanafunzi (now kamaliza diploma in medical laboratory) mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana for the first time na niliona ana deserve kuwa baba watoto kwa baadae...

Baada ya kuanza chuo mahusiano yetu yaliendelea kuwa mazuri japo alikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya kusalitiwa niwapo chuo na wivu ulimzidi mpaka kufikia kuwa anakagua simu yangu na kutaka kujua kila contact ya jina la kiume ni nani. Kiukweli sikuwa comfortable kuwa na urafiki wowote na boys wa chuoni kwetu maana niliogopa sana kuharibu uhusiano wetu...

Alivyoona kuwa anaweza nipoteza alinambia kuwa anataka kunioa na kama sitaki kuolewa nae basi tuachane...

Mimi nilikataa kuolewa kwasababu niliona bado nasoma, pili maisha yetu wote bado ni wanafunzi so haitaleta maana kama tutawahi kuanzisha familia.. pia uwezo wa kujikimu bado mdogo.. nilimwambia kama tunaachana tuachane.. na baada ya kumwambia hivo tulikaa mwezi bila kuongea kila mtu akifanya mambo yake..

Upande wangu nilijua tumeshamalizana na nilikaa mda nikiwa peke yangu.. na baadae niliamua kuanzisha uhusiano mpya na mtu mwingine ambae tupo nae chuo tunashare masomo.... Nilimpenda sana huyu mpya kuliko wa zamani na up to now nampenda pia.

Baada ya yule jamaa kuona nna uhusiano mpya alienda kwa dada zangu na baadhi ya ndugu zangu kusema kuwa nadanganywa na wahuni wa chuo na akaomba kuwa ni bora anioe.. ndugu zangu walimkubali sana na wakaniambia ni lazma niolewe nae.. nilijaribu kuwaeleza shida ntazopata ila wao walijua chuo kishaniharibu ni bora waniozeshe..

Nilikubali kishingo upande hivohivo kweli tukaoana mwaka jana mwezi wa 7 .. maisha yalienda vizur kwa mwanzo ila sasa imekuwa viceversa...

Alikuwa amepanga ila kodi zilimshinda kulipa nikawa nalipa mimi, vyakula baadhi nikawa nanunua mimi na kuweka ndani.. kwakuwa wazazi wangu walinipaga kiwanja na kwa jitihada zangu binafsi wakati nipo nikisubiri kuanza chuo nilibahatika kufanya kazi na kujenga chumba kimoja na sebule na hivi sasa tumehamia hapo...

Kinachoniumiza kichwa ni kuwa hanipi matumizi ya kula per day, kazi zake sizielewi mara aache mara afanye, najilisha mimi na wakati mwingine narudi nyumbani kukaa kwa muda...

Naombeni ushaur wenu hii ni ndoa au ni nini??? Napata wakat mgum maana HANIHUDUMII ila huduma zake yeye anazitaka nimtimizie ...
 
dah pole sana,hii mambo ya kulazimishana ndoa imepitwa na wakati,,,
mwambie akupe talaka kama hawezi kukuhudumia ,hakuna namna, kwanza ndio upo 21,,,,,,
 
Kwa ushauri wangu mjaribu kukaa pamoja na kujadili ni namna gani mnaweza kushirikiana katika shughuli mbalimbazi zitakazoweza kuwaingizia kipato na Kama mmeo akionesha kukuunga mkono katika mawazo mbalimbazi Basi mtaweza kufikia malengo ila Kama haoneshi ushirikiano usipoteze muda achana nae kuanza upya sio ujinga...
 
Kimsingi ndoa yenu ina matatizo mawili
La kwanza ni kwamba umesema bado unampenda yule mkaka mpya wa chuo aliyekuja baada ya huyu mume,mie sijaona ulazima wa kukubaliana na ndoa ambayo haikuwa na upendo ndani yake

La pili ni hali mbaya kiuchumi,hii tukubali tukatae.....hadi mtu ufikie maamuzi ya kufunga ndoa ni muhimu kuwa vizuri kiuchumi,sio lazima kuwa vizuri sana lakini kuna some expenses ambazo ni necessary kuwa na uwezo wa kuzicover....ndio maana kwa kijana anayejielewa hawezi kufunga ndoa kizembe zembe bila kuwa na source yoyote ya uhakika ya income,nyie hiyo ndoa mlikurupuka

Kimsingi kama unaona future kwa huyo mume uliyenaye ni suala la kukaa na kupanga namna gani mtayamudu maisha....
 
Kwa ushauri wangu mjaribu kukaa pamoja na kujadili ni namna gani mnaweza kushirikiana katika shughuli mbalimbazi zitakazoweza kuwaingizia kipato na Kama mmeo akionesha kukuunga mkono katika mawazo mbalimbazi Basi mtaweza kufikia malengo ila Kama haoneshi ushirikiano usipoteze muda achana nae kuanza upya sio ujinga...
Ki ukweli huwa anaonesha nia na nampa mpaka mtaji but hakuna chochote kinachoendelea baada ya muda pesa imeisha
 
Habari wanajamvi...
Mimi ni binti wa 21yrs na ni mwanafunzi pia 3rd year now (BA.education).
Katika harakati zangu za masomo mpaka kufika form six sikuwahi kujihusisha na mapenzi.. ila nilipofika form 6 nilianzisha uhusiano na mtu ambae pia alikuwa ni mwanafunzi (now kamaliza diploma in medical laboratory) mahusiano yetu yalikuwa mazuri sana for the first time na niliona ana deserve kuwa baba watoto kwa baadae...
Baada ya kuanza chuo mahusiano yetu yaliendelea kuwa mazuri japo alikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya kusalitiwa niwapo chuo na wivu ulimzidi mpaka kufikia kuwa anakagua simu yangu na kutaka kujua kila contact ya jina la kiume ni nani. Kiukweli sikuwa comfortable kuwa na urafiki wowote na boys wa chuoni kwetu maana niliogopa sana kuharibu uhusiano wetu...
Alivyoona kuwa anaweza nipoteza alinambia kuwa anataka kunioa na kama sitaki kuolewa nae basi tuachane...
Mimi nilikataa kuolewa kwasababu niliona bado nasoma, pili maisha yetu wote bado ni wanafunzi so haitaleta maana kama tutawahi kuanzisha familia.. pia uwezo wa kujikimu bado mdogo.. nilimwambia kama tunaachana tuachane.. na baada ya kumwambia hivo tulikaa mwezi bila kuongea kila mtu akifanya mambo yake..
Upande wangu nilijua tumeshamalizana na nilikaa mda nikiwa peke yangu.. na baadae niliamua kuanzisha uhusiano mpya na mtu mwingine ambae tupo nae chuo tunashare masomo.... Nilimpenda sana huyu mpya kuliko wa zamani na up to now nampenda pia.
Baada ya yule jamaa kuona nna uhusiano mpya alienda kwa dada zangu na baadhi ya ndugu zangu kusema kuwa nadanganywa na wahuni wa chuo na akaomba kuwa ni bora anioe.. ndugu zangu walimkubali sana na wakaniambia ni lazma niolewe nae.. nilijaribu kuwaeleza shida ntazopata ila wao walijua chuo kishaniharibu ni bora waniozeshe..
Nilikubali kishingo upande hivohivo kweli tukaoana mwaka jana mwezi wa 7 .. maisha yalienda vizur kwa mwanzo ila sasa imekuwa viceversa...
Alikuwa amepanga ila kodi zilimshinda kulipa nikawa nalipa mimi, vyakula baadhi nikawa nanunua mimi na kuweka ndani.. kwakuwa wazazi wangu walinipaga kiwanja na kwa jitihada zangu binafsi wakati nipo nikisubiri kuanza chuo nilibahatika kufanya kazi na kujenga chumba kimoja na sebule na hivi sasa tumehamia hapo...
Kinachoniumiza kichwa ni kuwa hanipi matumizi ya kula per day, kazi zake sizielewi mara aache mara afanye, najilisha mimi na wakati mwingine narudi nyumbani kukaa kwa muda...
Naombeni ushaur wenu hii ni ndoa au ni nini??? Napata wakat mgum maana HANIHUDUMII ila huduma zake yeye anazitaka nimtimizie ...
usijali utapata ushauri bora
 
Raha ya hii dini yenu mtu ata akiwa na laki tatu eti anaoa..
Tuliza kiguu hicho we mwanamke huyo ndio mwanaume wako anayekupenda mambo ya kiuchumi yamemtinga hapo alipo anakufa kiume anaponea busara zako,
Sasa nawewe ukianza chokochoko mtamuua huyo jamaa..

Muweke chini kwa upendo busara na hekima mkae mzungumze kwa kina juu ya hatma ya maisha yenu..
Muoneshe upendo zaidi
Msaidie kutafuta michongo,mshauri nini cha kufanya
Mwanaume akitingwa na jambo fulani mambo yake mengi huwa yanasimama mpaka apate suruhu juu ya hilo jambo.
 
cha muhimu ni kukaa na kuelezana vp mfanye mpate chochote cha kujikimu anaweza kua hajapata kazi bado maana kazi ngum mtaani ila akipata kazi atakua sawa .. saiv we unaweza kua na bum ukamuona hana maana lakn jaribu kumsikiliza ye ana mipango gan na maisha yenu ndio amekataa tamaa kabisa au option ndio ngum .. mtafute ata mtaji mfanye chochote huku akiendelea kutafuta kazi!.
 
mkuu naona unataka kuchomoa betri kabla bodaboda hawajfika,,,,

huwezi kukwepa ngumi kwa kufumba macho, siku zote mwanzo ni mgumu ukifanikiwa kumvumilia huyo mumeo na kuweza kufungua moyo wako amini usiamini kuna baraka zinaweza zikafunguka juu ya mumeo na maisha yanaweza yakawa mazuri zaid ya unavofikiria
 
Kosa ulilolifanya ni kukubali kuingia kwenye ndoa huku nafsi yako haikuridhia
Nikusifu kwa kutekeleza baadhi ya majukumu kwa mumeo una moyo wa kipekee
Kaa chini na mwenzio muongee kumhudumia mtu ambae hawez kujiongeza ni mzigo sana tena hasa sisi wanawake hua tunachoka upesi

Na nachokiona na vile hukua na upendo naye unataka muachane? Tuliza akili kama mwanzo ndoa ilianza vizur bas wewe ndio wa ubavu wake tafta chanzo cha mambo kubadilika usichoke kumrekebisha
 

Rudi kwenu jipange upya, hiko chumba chako pangisha uingize hela nae atafute hela huko atakokuwa.

Ukiona bado una mapendo nae baadae ya muda mrudiane, laah ndo inakuwa ishatoka hiyooo

Sikushauri muachane ila msikimbilie kuzaa hadi mtapokuwa sawa hasa kisaikolojia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom