Usiwanyime nafasi wengine wanaopenda hiyo tamthilia,nashauri wakiwa wanaweka tamthilia hiyo badili tu channel kwa roho safiKurudisha nyuma kila wakati hio tamthilia ya The Promise 2 ni ushamba na kutojali watazamaji wenu.
Natamani litivii lenu lifungiwe kama wakati ule. Shwaiin...
Hii tamthilia nilifikir mama yake Eduardo alipokufa ajarini ndo inaelekea mwisho.......sasa naona kila siku inaonyeshwa kumbe inarudiwa....Kurudisha nyuma kila wakati hio tamthilia ya The Promise 2 ni ushamba na kutojali watazamaji wenu.
Natamani litivii lenu lifungiwe kama wakati ule. Shwaiin...
mexicoHii tamthilia nilifikir mama yake Eduardo alipokufa ajarini ndo inaelekea mwisho.......sasa naona kila siku inaonyeshwa kumbe inarudiwa....
By the way wale watu mhhh...hivi ni wa nchi gani??!!!
Khaa!!!! Mbona wamexico ni balaa hivi??? Series zao zote nilizocheki nzur!!!!! Mkuu waweza nipa majina yao????mexico
Ht mi wamenikeraKurudisha nyuma kila wakati hio tamthilia ya The Promise 2 ni ushamba na kutojali watazamaji wenu.
Natamani litivii lenu lifungiwe kama wakati ule. Shwaiin...
Philippinesmexico
Acha kutetea uzembe. Inapaswa ionyeshwe mwanzo mpaka mwisho. Kurudiarudia tena bila taarifa kwa watazamaji ni USHAMBAUsiwanyime nafasi wengine wanaopenda hiyo tamthilia,nashauri wakiwa wanaweka tamthilia hiyo badili tu channel kwa roho safi
Kwan kn mtu kazungumzia futuhi mkuu?Naona Wapenzi wa futuhi mmekereka kweli kweli, Tv yenu kanda yenu!