Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
Nape ajibu hili: Vyuo siyo majengo au eneo, chuo ni wanafunzi, na walimu wao, kama CCM imerasimisha kuwaingiza rasmi wanafunzi wa vyuo kwenye siasa ni sawa na kufanya siasa vyuoni, na akubali kuwa kitendo hiki kimetokana na CCM kukosa mvuto kwa vijana wa vyuo!