Kumekua na mijadala kuhusu vyama kupewa ruzuku au hapana, wengine tumekua tukipinga vyama vya siasa kupewa ruzuku.
Hoja yetu ni nyepesi, pesa wanazopewa vyama ni zetu kwa sababu zinatokana na kodi, kinachofanyika ni kwamba vyama vinapewa vingine pasipo ridhaa yetu, sasa kodi ifanye kazi za maendeleo, vyama vitoke, vije kwetu na hoja, tukiridhika tutavichangia tusiporidhika tutaviacha vife. hatuhitaji vyama 20 katika nchi!
swali kwa Nape, nini msimamo wake/wao kuhusu ruzukuu kwa vyama vya siasa?