kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Juzi mheshimiwa rais alisema mkataba kati ya TBC na Startimes uchunguzwe
Nadhani huu ndo wakati muafaka kwa hawa wachina (wanyonyaji) kuacha kutumia mitambo ya tbc ya kodi zetu huku wakituuzia local channel
Na huenda wakashughulikiwa
Maana wanatulipisha mpaka tbc wasivyokua na huruma
Siku zao zinakaribia
Nadhani huu ndo wakati muafaka kwa hawa wachina (wanyonyaji) kuacha kutumia mitambo ya tbc ya kodi zetu huku wakituuzia local channel
Na huenda wakashughulikiwa
Maana wanatulipisha mpaka tbc wasivyokua na huruma
Siku zao zinakaribia