poleni sana....najua wengi wanaweza kusema mimi napromote startimes...lakini si kweli.....nina zaidi ya mwaka natumia startime....nina antena ya nje nzuri sana....kwa kweli sijawahi kupata tatizo lolote la signal kasoro mara chache ambazo kuna chaneli za nje zinapotea kabisa na wenyewe startimes wanaweka tangazo na apology....ushauri wangu kwa watu wote wenye startimes decoder,nunueni antena nzuri sio za kuungaunga then tafuta fundi wa kuinstall antena(wapo wengi tu uswazi) mimi walinifungia kwa tsh 10,000 tu....na hadi leo haikwami wala nini iko very clear....kuna chaneli zingine wenyewe ndio wanaquality mbovu startime ni msambazaji hawezi kuongeza quality ya chaneli fulani fulani haswa za kitanzania....kwa kweli kwa ving'amuzi hamna kinachofikia startimes(DSTV is another league,usiiweke hapa)
startimes wana chaneli nzuri sana kwa mfano
news:bbc,aljazeera,msnbc,cctv
sports:mcs(french tv),setanta,eurosport
entertainment:bet,mtv,E!entertaiment,fashion tv,Etv(south africa),Estar,Fox,FX,stv music,stargold,discovery science,nation geographic gold etc
local:tbci,2...chaneli 10,dtv,star tv,itv,eatv,clouds tv
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni....ukiondoa DSTV hakuna king'amuzi kingine chenye package nzuri zaidi ya STARTIME....kama kipo orodhesheni chaneli hapa tuzichambue
kids:nicklelodeon,kidsco