Habari dekoda ya antena inauzwa 65000 na utapata mwezi mmoja kifurushi cha uhuru.Nataka kujuwa gharama za kuweka star times digital. Gharama ya kifurushi cha
uhuru. List ya channels zote za package ya uhuru. Asante
Asante sana sana. Tafadhali nipe link au paste hizo channels. Waweza pia kuniwekea flyer au hata attachments tuone ni channels za aina gani. ThanksHabari dekoda ya antena inauzwa 65000 na utapata mwezi mmoja kifurushi cha uhuru.
Kifurushi cha uhuru ni sh 20000 kwa mwezi na unapata channel 70+
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Tafadhari ingia www.startimestv.comAsante sana sana. Tafadhali nipe link au paste hizo channels. Waweza pia kuniwekea flyer au hata attachments tuone ni channels za aina gani. Thanks
Haya boss mimechaguwa hii
Uhuru unalipia TZS 20,000 tu. KaribuHaya boss mimechaguwa hii
DTT_Uhuru Bouquet
TSh 20000
Jumla natakiwa kulipa kiasi gani? Jumla jumla kabisa boss?
Kwanini mmeondoa channel ya Investigation Discovery, silipii mpaka irudi
Habari yako. Je una tatizo/changamoto yoyote tukusaidie?Hiki king'amuzi sikipendi
Karibu. Ofa zaidi zinakujaAhsanteni kwa offer ya sh 100 nilijua uongo.
Bado hamjarudisha Bollywood swahili movie za kihindiHabari yako. Je una tatizo/changamoto yoyote tukusaidie?
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Habari; bollywood ipo lakini kwa sasa unaweza kuchagua lugha ya kiingerezaBado hamjarudisha Bollywood swahili movie za kihindi
Fine living bado ipo smartFine living, real time, fox news na fox life hizi zote zilikuwa kwenye package ya smart lakini siku hizi hazimo kabisa kwenye kisimbuzi chenu! Kulikoni?
Nashauri pia Hope channel iingizwe.
Kiswahili hakuna?Habari; bollywood ipo lakini kwa sasa unaweza kuchagua lugha ya kiingereza
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Fine living kwangu siipati kabisa tangu mwaka huu uanze, pia naomba majibu kuhusiana na hope channel ya wasabato pamoja na discovery science.Fine living bado ipo smart
Fox news na real time zipo kifurushi cha super
Karibu sana
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Pole kwa usumbufu tutafanyia kazi maoni yakoMnapokuwa mnafanya mabadiliko ni vyema kutuarifu sisi wateja wenu.
Sio mtu anajipinda kulipia kifurushi akidhani kwamba channel zake pendwa zipo kumbe nyie tayari mnakuwa mmeshazihamisha inatia hasira.
Hayo mabadiliko ya real time na fox life tulipaswa kujulishwa lakini mlifanya kimya kimya, tujalini wateja wenu.
Ahsante kwa kwa kuwa wasikivu, vipi kuhusiana na hiyo channel ya fine living, mnanisaidiaje iweze kurejea? Maana nikiangalia kwenye orodha ya channel hakuna kakuna kabisa.