Ahsante.Nimegundua king'amuzi cha Star times ni kizuri sana na kina vipindi vingi vizuri kulinganisha na vingine. Nilinunua kingine juzi juzi nimeangalia ila bado kwakweli sijakifurahi nimerudi zangu startimes
Habari yako, tafadhari tembelea duka la startimes au wakala aliye karibu nawe kununua nyingine. Au tembele maduka ya vifaa vya electronics na ununue adaptor nyingine yenye viwango vya umeme sawa na hiyo.msaada king'amuzi waya wa kupeleka moto umekatika nifanyeje ni waya tu wenyewe,
Kwa mawakala wenu mtu anaweza kuapata kwa bei ganiHabari yako, tafadhari tembelea duka la startimes au wakala aliye karibu nawe kununua nyingine. Au tembele maduka ya vifaa vya electronics na ununue adaptor nyingine yenye viwango vya umeme sawa na hiyo.
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Bei elekezi ya adaptor ni shilling 14,000/=. KaribuKwa mawakala wenu mtu anaweza kuapata kwa bei gani
Mimi nilikuwa natumia king'amuzi Cha antena ilikuwa inashika vizuri lakini nikahamia sehemu nyingine saiv nimeshindwa kupata channel. Naomba msaada.Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Mbeya Hapa Sae sizipati channel zenuHabari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Habari. Unatumia kingamuzi cha dish au cha antena na unapata ujumbe gani kwenye screen ya tv?Mbeya Hapa Sae sizipati channel zenu
Habari je umehamia wapi? Eneo; wilaya na mkoa?Mimi nilikuwa natumia king'amuzi Cha antena ilikuwa inashika vizuri lakini nikahamia sehemu nyingine saiv nimeshindwa kupata channel. Naomba msaada.
Nimehamia Majengo, jiji la Arusha mkoa wa Arusha ni mjini tu maana kwenda city center nauli ni 400Habari je umehamia wapi? Eneo; wilaya na mkoa?
Majengo visimbuzi vyote (dish na antena) vinafanya kazi, tafadhari fika katika maduka yetu (Florida au Friends corner) utapatiwa namba za mafundi wetu watakushauri namna bora ya kufunga dish/antena.Nimehamia Majengo, jiji la Arusha mkoa wa Arusha ni mjini tu maana kwenda city center nauli ni 400
SawaMajengo visimbuzi vyote (dish na antena) vinafanya kazi, tafadhari fika katika maduka yetu (Florida au Friends corner) utapatiwa namba za mafundi wetu watakushauri namna bora ya kufunga dish/antena.
Sawa
Habari yako. Hatuwezi weka mfumo wakubadili kifurushi automatic; wateja wengine wanalipa hela zaidi kwa ajili ya miezi mawili sio kwa ajili ya kulipia kifurushi cha juuKero kubwa ni pale unapotaka kubadili kifurushi hadi upige customer care, kumbukeni kuna mama zetu vijijini hawalijui hela na matokeo yake mtu alikuwa na kifurushi cha juu anataka arud cha chini mnamhesabia siku. Huu ni wizi uliotukuka. Rekebisheni hapo ili mtu akiweka anaenda automatically kwenye kifurushi husika kulingana na pesa aliyoweka.
Mwisho kabsa hakuna channel ya mieleka, kulikoni?
Startimes wapo vizuri, nimeshindwa kuhamia Azam kwa sababu huwa naenda kuangalia ligi kuu ya Tanzania katika vibanda umiza.Nimegundua king'amuzi cha Star times ni kizuri sana na kina vipindi vingi vizuri kulinganisha na vingine. Nilinunua kingine juzi juzi nimeangalia ila bado kwakweli sijakifurahi nimerudi zangu startimes
Ofa za msimu wa sikukuu mnatoa lini?Majengo visimbuzi vyote (dish na antena) vinafanya kazi, tafadhari fika katika maduka yetu (Florida au Friends corner) utapatiwa namba za mafundi wetu watakushauri namna bora ya kufunga dish/antena.
Ofa zinaendelea tembelea kurasa zetu za mitandao ya kijamii utapata taarifa ya ofa mbalimbali. Kwa kukujuza tu ofa ya Leo na keshoOfa za msimu wa sikukuu mnatoa lini?