Kel-dizo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 423
- 168
Kifurushi cha siku ni 1200, cha wiki ni 4000 Kama sijasahau kinaitwa nyota ndani take wasafi tv imo.Naomba kujua bei ya vifurushi kwa siku na wiki, kifurushi chenye Wasafi TV
Kifurushi cha siku ni 1200, cha wiki ni 4000 Kama sijasahau kinaitwa nyota ndani take wasafi tv imo.Naomba kujua bei ya vifurushi kwa siku na wiki, kifurushi chenye Wasafi TV
King'amuzi namba moja kwa ubora ni Dstv avha kujifaraguwa.Kingamuzi namba moja kwa ubora hapa nchini teyari kimeporomosha bei ya vifurushi vyake
Ninyi mnasubiri nini!?
Nawapa mwezi mmoja tu, kama msipopunguza zaidi ya Azam, mwaka 2021 nitahamia huko
wajinga wamejazana kwenye ukoo wako huko usiwaone uje uanza kuhangaika na mtu usiyemjuaKing'amuzi namba moja kwa ubora ni Dstv avha kujifaraguwa.
Pili Azzam wamepandisha bei ya vifurushi vyao, ila kwa wajinga kama wewe utaona kama kweli wameshusha bei.
Kwa sababu huna akili, kama wewe unaenjoy na Azzam na sisi wa Dstv tuseme tuko peponi?wajinga wamejazana kwenye ukoo wako huko usiwaone uje uanza kuhangaika na mtu usiyemjua
Ninavyokujibu hii post teyari jana nimefunga azam naenjoy maisha
Naomba kujua huduma ya kulipia mara moja inapatikana kwa utaratibu gani?Habari zenu wanaJamiiForums
Je, una tatizo lolote unapotumia huduma zetu? Unaushauri wowote ili kuboresha huduma zetu?
Tafadhali tunaomba utumie thread hii, ili tukusaidie. Tafadhali tunaomba unapokuwa na tatizo ili tukusaidie kirahisi.
1. Utaje tatizo lako
2. Taja sehemu unayoishi
3. Pia kama unaweza tunaomba ututumie na namba yako ya smartcard!
STARTIMES tutajibu maoni, malalamiko na ushauri ule tu ambao utakuwa umejitosheleza na wenye nia ya kutusaidia kuboresha huduma zetu.
kumbuka namba zetu za huduma kwa wateja ni 0764700800 au 0677700800
Ahsanteni sana na karibuni nyote.
Napenda kutoa maoni yangu kuhusu huduma ya malipo ya vifurushi nashauri kuwe na maelekezo ya ghalama na kiasi unachotaka kulipia hii itasaidia kutambua unaponunua kifurushi kinakaa kwa muda gani ,hii imenitokea wiki hiii nimenunua kifurushi cha 11000 nikijua kitakaa mwezi baada ya wiki mbili nakuta kimekata nimekuja kuuliza naambiwa kuna mabadiliko ya vifurushi yaani imepanda bei nilitakiwa nilipie 11500 ili nipate cha mwezi asee hii ilinichanganya sana sasa kama kungekuwa na matitiriko wa kila kifurushi.na ghalama zake hii ingesaidia kutoingia mkenge kama huu
Sawa mkuu nitafanya hvyoMkuu download Startimes On itakupa urahisi wa kufanya malipo pamoja na kuchagua kifurushi ukitakacho, pia itakuwezesha kuona tarehe ya kifurushi chako kuisha.
Hii imetokea kwangu pia wanafanya makusudi.... Kwa nini ukilipia isigome na upewa maelezo hujaweka kiwango cha fedha ambacho ni sahihi?Napenda kutoa maoni yangu kuhusu huduma ya malipo ya vifurushi nashauri kuwe na maelekezo ya ghalama na kiasi unachotaka kulipia hii itasaidia kutambua unaponunua kifurushi kinakaa kwa muda gani ,hii imenitokea wiki hiii nimenunua kifurushi cha 11000 nikijua kitakaa mwezi baada ya wiki mbili nakuta kimekata nimekuja kuuliza naambiwa kuna mabadiliko ya vifurushi yaani imepanda bei nilitakiwa nilipie 11500 ili nipate cha mwezi asee hii ilinichanganya sana sasa kama kungekuwa na matitiriko wa kila kifurushi.na ghalama zake hii ingesaidia kutoingia mkenge kama huu