Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,439
- 92,803
logframe, Fanya hivi, Startimes kigeuze kuwa cha kuangalia local free channels. Then nunua DStv kwa ajili ya kupata kilicho bora kabisa, Mimi hawa Wachina tangu walivyoshindwa kulipa mkataba mpya na Nat Geo Wild na Fox sioni cha maana tena kwenye hicho king'amuzi chao, sana sana nitakitumia kuangalia local channel's tu, silipii ng'oo.