Upo wapi weka na mawasiliano yako mafundi wetu watakuja kesho saa 12 alfajiri ili kufix hilo tatizoHabari zenu startimes mimi nina tatzo,
Ninà miezi mitàtu sijalipia kifurushi changu lakini cha ajabu channel tena zoteee zilizopo kwenye decoder zinashika tatzo lawezà kuwa nini?? Maana sitaki kuhujumu uchumi wa startimes.
Naombeni ushauri, mke wangu alienda kwao kujifungua ila saiv ni mwezi wa tatu tokea ajifungue nahadi saivi hajarudi kwangu na ninahisi wazaz wake ndio wanamkataza asirudi, je nifanyeje?Hawa Startimes hawafai kwa kila kitu mi nimelitoa dish lao.
Mimi kwangu bila kulipia napata chanel 12 cjui nyieS mliambiwa channel za clouds EA tv ITV channel ten. Star tv zioneshwe bure mbona bado tunalipia
Mimi kwangu hata bila kulipia napata chanel 12 cjui nyieJamani channel gani unaweza kuiangalia endapo ujalipia king 'amuzi cha star times?
Mimi hata bila kulipia napata chanel 12 cjui nyieTBC 1
Yes unapata hata mm nimebadilishiwa ya zamani nkapwwa mpya now napata kuona chanel 12 hata bila kulipiaNipo Dar,
nauliza kama naweza kupata smart card bila decoder StarTimes Tanzania
SINGIDA mjini kama hujalipia Star times unapata tbc peke yake.Mimi kwangu hata bila kulipia napata chanel 12 cjui nyie