Start From Now: I'm CCM, Real CCM

Start From Now: I'm CCM, Real CCM

Hongera sana. Sisi wengine sio wanachama wa chama chochote cha siasa ila busara zinaonesha umefanya uamuzi sahihi
Asante mkuu.
Umeliangalia kwa upeo mpana.
Ni heri kuweka mambo hadharai kuliko kuyaweka moyoni
 
Kweli, bora ukae huko kwa mambumbumbu wenzako. Mimi nilipoona "News alert" nilijua itakuwa ni habari kubwa na mpya. Kumbe siyo! Hujaitendea haki jamii forum ambayo ni uwanja wa kuelimisha, kuhabarisha na kujadili masuala nyeti ya Taifa. Shame on you!
k
Ni habari kubwa kwa CCM kupokea mwanachama mpya, msomi na mwana mikakati.
Pia ni habari mbaya kwa chadema.

Ni habari kubwa sana mkuu!!
 
Wa kongwe wa JF wananitambua.

Kabla ya kubadili ID hii nilikuwa natumia ID nyingine ambayo ulikuwa hukosi thread kila siku kuipaisha chadema humu, uzi wangu ulikuwa gumzo humu.
Masikini wa Mawazo wewe mchumia tumbo haya kachukue posho yako buku 3.toka Lini ulikuwa Cdm sio I'd mpya sema Nina ids 7
 
Chadema ni majizi na matapeli wakubwa wa nchi hii
Matapeli walio wapotezewa watu makini muda wao.
Ni matapeli kwa kufanya siasa hovyo.
Chadema inanufaika na ujina ulio wajaa wafuasi wao.

Kama wafuasi na wana chama wa chadema wangekuwa makini basi chadema na Mbowe wangerudi kwenye msitari na hata kushika dola
 
Hizo ni Biashara za watu tu, karibu kwenye Chama cha siasa pekee hapa nchini.
 
Yaan nilivyosoma title tu nikajua wewe ni CCM..mods msi edit hyo title iacheni hivyo hivyo inamaana kubwa sana
 
Chama gani ambacho Mwenyekiti wa Wanawake anatetea nafasi zote za uteuzi ndani ya chama wapewe wanaume????

Anatutia shaka sana kama ni Mwanamke au Mwanaume
 
Hebu kwanza waruhusu mzunguko wa pesa mtaani, wakawapa ruhusa wapinzani kufanya mikutano ya hadhara,kuwaacha waandishi waandike habari kulingana na taaluma yao,kuacha kutoa matamko wasiyoyafanyia uchunguzi,watoe ajira,wafanyie kazi ahadi walizosema katika mikutano yao n.k hapo nitaweza kufikiria kuwa mwanaCCM
 
Hivi kwani hapa Tz vyama ni CCM na CHADEMA tu ? Vyama viko vingi tunaweza kuamua watanzania tukaangalia chama gani kingine kina sera nzuri na tukakipa nguvu na kikajipanga zaidi tukawapa tu dola ili kuachana na hivi vyama viwili.
 
Back
Top Bottom