Start From Now: I'm CCM, Real CCM

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kinaisha.

Nikiipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
Tokea lini ukawa upinzani wewe mchumia tumbo?
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kinaisha.

Nikiipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi

Unataka tukusaideje sasa? kama umeamua kuwa mwanaccm mtiifu ni maamuzi yako. Kwa aliyeenda shule na kuufuta ubashite ni dhahiri kwamba wewe ni Lumumba mzoefu tuu ila umeingia humu kupima upepo na thread yako ya kibashite bashite. Otherwise huna jipya tuu...unasaka tonge kama wana Lumumba wenzako. Ni maisha. Hakuna anayeweza kukulaumu. Nchi ya Magufuli ngumu sana. Kila mtu anatafuta namna ya kusogeza siku!
 
Nop nop usitutoe kwenye reli leteni vyeti hapa, njaa walizungumza mkasema ni siasa za wapinzani, mdororo bandarini waliongea mkasema walikuwa wapiga madili, hakuna kikao cha kamati kuu kilichokaa kujadili jina la makonda labda umesahau kwamba ni gwajima ndio anashughulikia hilo kama una ushahidi weka hapa, wewe ni mkereketwa wa ccm jana leo na milele, endelea kuisoma namba.
 
Unataka tukusaideje sasa? kama umeamua kuwa mwanaccm mtiifu ni maamuzi yako. Kwa aliyeenda shule na kuufuta ubashite ni dhahiri kwamba wewe ni Lumumba mzoefu tuu ila umeingia humu kupima upepo na thread yako ya kibashite bashite. Otherwise huna jipya tuu...unasaka tonge kama wana Lumumba wenzako. Ni maisha. Hakuna anayeweza kukulaumu. Nchi ya Magufuli ngumu sana. Kila mtu anatafuta namna ya kusogeza siku!
Mkuu tafadhali sana.
Sina njaa kama unavyofikiri, na wala sihitaji chochote kulipwa kufanya haya.
Kwanza utambue hakuna kiongozi au mwana lumbumba anae fahqm ID yangu, hivyo sina maslai yoyote ya kifedha au mali kufanya maamuzi haya.

Ibainike wazi hii ni demokrasia, kutoka upinzani kwenda CCM ni demokeasia, naomba utambue hivyo, usiongizwe na hisia, tumia akili kufikiri
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
Haya uliyoongea mbona wenzako wameshayasema sana. Husomagi post za wenzio hadi unarudiarudia
Tokea lini ukawa upinzani wewe mchumia tumbo?
 
Katika hilo shairi lako umeandika neno "CHADEMA" Kwa zaidi ya mara10?

Hicho chama unatokwenda umeandika mara2 tu, mpaka hapo ni dhahiri Unaipenda CHADEMA kuliko huko...

Hujatuonyesha sera, itikadi na falsafa ipi umeichukia na ipi umeipenda huko.
Pia sikueleza sera wala itikadi ya chadema,
 
Nop nop usitutoe kwenye reli leteni vyeti hapa, njaa walizungumza mkasema ni siasa za wapinzani, mdororo bandarini waliongea mkasema walikuwa wapiga madili, hakuna kikao cha kamati kuu kilichokaa kujadili jina la makonda labda umesahau kwamba ni gwajima ndio anashughulikia hilo kama una ushahidi weka hapa, wewe ni mkereketwa wa ccm jana leo na milele, endelea kuisoma namba.
Usiniulize cheti mimi, sihusiki na cheti cha mtu yoyote

Hata hivyo usijikite kwenye vitu vidogo kama hivi, embu angalia taifa linahitaji nini kwa sasa
 
Mkuu tafadhali sana.
Sina njaa kama unavyofikiri, na wala sihitaji chochote kulipwa kufanya haya.
Kwanza utambue hakuna kiongozi au mwana lumbumba anae fahqm ID yangu, hivyo sina maslai yoyote ya kifedha au mali kufanya maamuzi haya.

Ibainike wazi hii ni demokrasia, kutoka upinzani kwenda CCM ni demokeasia, naomba utambue hivyo, usiongizwe na hisia, tumia akili kufikiri

Wadanyangaye wabashite wenzako.

I am past that level of thinking-I see in your post. By the way I have respected you to dignify your post with a reply. It is not worth it!
 
Hakika nathubutu kusema wazi kwamba nimeamua kuwa Mwana CCM mtiifu.

Nimebaini kwamba kwa mtindo wa siasa za upinzani hakika hakuna jipya wanalolipigania, ni maneno mengi yasio na maana.

Nilishindwa kuelewa target kubwa ya Chadema katika siasa zetu, nikiiangalia na ACT naona ni kichaka cha kiongozi wao kujinufaisha kimaisha.

Niliipa iman UKAWA kiasi kwqmba ilinibidi nitumie nauli ya zaidi 40,000 kwenda kumpigia mgombea wao kura.

Pamoja na kwamba nilitambua kwamba hakuwa na sifa njema za kuiongoza nchi lkn nilibakia na msimamo kuwa chama ni taasisi hivyo angeweza kuendana na sera na itikadi ya chama katika kuongoza nchi.

Baada ya uchaguzi ule nimetafakari kwa muda mrefu na kubaini kuwa nilifanya makosa kumuunga mgombea wa chadema mkono. Niligundua kuwa Chadema hawakuwa serious kushika dola.


Tukiachana na uchaguzi ule, pia nimebaini kwa sasa hakuna kipya ambacho chadema wana target. Ukiiangalia kwa makini unagundua Chadema wana dandia vitu vidogo kufanya ajenda ya kujijenga kisiasa.

Yani leo Chadema inamtumia Makonda kujijenga kisiasa. Wabunge na wafuasi wa chama hiki wamejikita kwa vitu vidogo vidogo kwa kupambana na Makonda kuhusu jina lake halisi.

Ukiangalia matatizo ambayo seriously yanatuumiza wananchi kama gharama za maisha kupanda ikichangiwa na mfumuko wa bei, biashara kudorora, bandari kukosa wateja, kodi nyingi nk. Lakini pamoja na yote haya sijaona kamati kuu ya chadema ikikaa na kuyajadili haya zaidi ya kujadili Makonda kupambana na Madawa ya kulevya.

Yote haya yamechangiwa na kuwa na Mwenyekiti ambaye uwezo wa kielimu ni mdogo.
Cadema kwa sasa imejikita katima uharakati, pasipo kuangalia nini hasa kina hitajika kwa wananchi.

Baada ya kung'amua yote haya nibebaini pamoja Mapungufu madogo madogk ya Rais wangu na CCM ni heri huku kuliko madhaifu makubwa ya Chadema.

Natambua kwamba Rais Magufuli anamapungufu kama binadam wengine ambayo yake yanaweza kurekebishika haraka kuliko madhaifu ya chadema ambayo tumeshuhudia kwa miaka mingi.

Hivyo kwa kuhitimisha nimalize kwa kusema kwamba, nimeamua kuwa mwana CCM mwaminifu na mtiifu.

Naamini kuijenga nchi kama Mwana CCM na mtanzania mzalendo.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.

General Mangi
Utajua mwenyewe mimi nipo busy
 
Usiniulize cheti mimi, sihusiki na cheti cha mtu yoyote

Hata hivyo usijikite kwenye vitu vidogo kama hivi, embu angalia taifa linahitaji nini kwa sasa
Sikuulizi ni msemo nimeusikia recently, anywayz Taifa linahitaji JUSTICE kwanza huo ndio msingi wa kila kitu, huwezi kupata maendeleo with absence of justice, ni kweli issue ya bashite ni ndogo lakini impact yake inatake national coverage kwa wale wote wenye kumuunga mkono Mh. juu ya vita dhidi ya vyeti feki, nikiwemo mimi. justice justice justice
 
inasikitisha sana ccm imechoka na upinzani hawajajipanga. hongera kwa kuchagua upande uliochoka....
Hakika!!
Chadema ni dhaidu zaidi pamoja na mapungufu CCM.
Ni bora kuendelea na CCM kuliko hawa ambao hujui wanataka kuja kufanya nn wakishika dola
 
Back
Top Bottom