Taifa Stars inahitaji wachezaji waanzishie darasa la elimu ya Lugha pia ukiwacha mpira, katika Game 5 zilizopita leo Taifa stars naona mpira haujatulia touch mbovu pia subiri tuone itakuwaje tunajiumiza kwa kukimbia mabio tu.
Kaseja naye uoga tu goli gani la kufungwa naona tumeenda kukaba sio kushambulia sasa kipindi cha pili tutabakia kuangalia Taarabt anavyocheza mpira tu... tulichotakiwa ni kushambulia sababu wao ndio wenye wasiwasi wakutofanikiwa sio sisi Taifa stars hawajui wafanyalo. tuwekee Ngassa na Jabir kipindi cha pili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.