Tehteh Mkuu siku nyingi naona sijakuona ila Taifa lako huliangushi lazima uwepo hata mie nimeshangaa Mchezaji wako kawekwa Bench kutakuwa na sababu ambayo mie siijui.Mbona Ngassa sikuhizi anaanzia bench? Kiwango kimeshuka au nini?
Tehteh Mkuu siku nyingi naona sijakuona ila Taifa lako huliangushi lazima uwepo hata mie nimeshangaa Mchezaji wako kawekwa Bench kutakuwa na sababu ambayo mie siijui.Mbona Ngassa sikuhizi anaanzia bench? Kiwango kimeshuka au nini?
Oooh! Pazi!!! Kumbe ni wewe, nilikuwa naandika nikiwa usingizini, sikujua kama ni wewe. Nafurahi kukuona pia, asante na wewe kwa kuwa mzalendo.Tehteh Mkuu siku nyingi naona sijakuona ila Taifa lako huliangushi lazima uwepo hata mie nimeshangaa Mchezaji wako kawekwa Bench kutakuwa na sababu ambayo mie siijui.
Jamani kuna mtu anayo link ya kuweza kuangalia mechi kwenye mtandao?
Hivi tunatakiwa tushinde 4-0 au 2-0?
Ni majaliwa ya muumba tu4-0 ndo tunatakiwa tushinde!
Magazeti ya kesho Bongo kwenye kurasa za michezo: Stars yafanya maajabu, yaipiga Morocco 5-0, waarabu awaamini.. Gazeti jingine: Staaaaz... raha tupu!!! Gazeti jingine: Stars Yatinga fainali za afrika kimazingaombwe. Jingine :Stars yavunja mwiko.
Najua ni kazi, nilikuwa najipa moyo. Ujue upaswi kufa kabla ujafa. Ili mradi una nafasi fulani ni bora kuwa na matumaini, yakitokea sawa yasipotokea inshalaah!Duh mkuu pamoja na kwamba mimi ni mzalendo lakini hii ni ngumu sana...,
Hawa jamaa kuwafunga zote hizo ni kazi hususan nadhani watapaki basi na kufanya counter attacks ukizingatia stars wanatakiwa wafunge (Huenda wakafunguka na kuacha defense vulnerable)
great.....Mkuu watch Morocco v Tanzania live through this link Watch Live: Marocco – Tanzania - Stream Online
LiveTV / Live Sport Streams, Football, Soccer, Ice Hockey, Tennis, BasketballJamani kuna mtu anayo link ya kuweza kuangalia mechi kwenye mtandao?