Mwana wa Kitaa
Member
- Jul 20, 2011
- 50
- 4
Wadau wa football hebu nijuzeni kuhusu hili gem la Stars, linaendeleaje na kama kuonyeshwa ni channel ipi?
nina imani leo tunashinda,hakuna lisilowezekana
kwani mpira bado haujaanza? tunataka tujue kinachoendelea....
Looh! tumekoswa bao!
vipi tbc hawaonyeshi tunaomba muendelee kutupatia live text thanks.