toka uwanja uzinduliwe ABID KASSIM BABI ndo mchezaji wa kwanza kufunga goli katika huu uwanja mpya toka uzinduliwe.
Hicho kiingilio ulicholipa kwenda kuangalia mechi walahi ungeenda kula zako kiti moto....:eyebrows:Maaaan ...nimekaa hapa uwanjani naangalia sijua ntatoka nimenywea au nachekelea!!
Maaaan ...nimekaa hapa uwanjani naangalia sijua ntatoka nimenywea au nachekelea!!
Dubu unaangalia star tv nini!
mwache ndio katua town dar...lazima atembezwe kona zoote....dream yake imekamilika kufika uwanja mpya.....Hicho kiingilio ulicholipa kwenda kuangalia mechi walahi ungeenda kula zako kiti moto....:eyebrows:
Maaaan ...nimekaa hapa uwanjani naangalia sijua ntatoka nimenywea au nachekelea!!