watu waajabu sana...tutawafunga tu..
Hahahaha!!! Nilijua tu...
Simba 1- msumbiji 1
bwahahahaha arifu punguza munkari......sasa nipe matokeo.....bwahahahaha....Aki ya nani wewe umeniboa, vibaya. Mi sikufichi kama ungekuwa rafiki yangu mi na wewe urafiki mwisho,Nyie ndiyo mliopoteza utu wa nchi ye2, watu kama nyie ndio mafisadi wa kifkra, nipo radhi wanifungie jf a/c yangu kwa ajili ya maneno yangu kwako, kiukweli umeniboa xana.