Stars imemaliza mwendo taifa limepoteza; Morocco ni Football Brain tugange yajayo, Asanteni Watanzania kwa Sapoti kwa timu yenu

Stars imemaliza mwendo taifa limepoteza; Morocco ni Football Brain tugange yajayo, Asanteni Watanzania kwa Sapoti kwa timu yenu

PLOII

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,098
Reaction score
802
Kwenye Mada moja kwa moja,

Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI (hana anachoweza) badala yake katikati panapwaya ~ Morocco wanasogea kirahisi bila pressure.

Clement Mzize ni mzuri kama Taifa Stars inacheza na Timu ambayo haina matumizi sahihi ya Brain all the time anatumia energy kuliko skills hana tofauti na KIBU kwa scenerio hii anaingia mtu ambaye pia matumizi ya akili yapo chini "SAADUNI"

Kiukweli Coach wetu hana viwango vya kimataifa hana tofauti na Fadlu wa Simba

Tumeumaliza Mwendo bye bye Brain matters.

NB: Nawapongeza Mashabiki wote kwa kujitokeza kwa wingi huo ndio UZALENDO
.​
 
Kwenye Mada moja kwa moja,

Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI (hana anachoweza) badala yake katikati panapwaya ~ Morocco wanasogea kirahisi bila pressure.

Clement Mzize ni mzuri kama Taifa Stars inacheza na Timu ambayo haina matumizi sahihi ya Brain all the time anatumia energy kuliko skills hana tofauti na KIBU kwa scenerio hii anaingia mtu ambaye pia matumizi ya akili yapo chini "SAADUNI"

Kiukweli Coach wetu hana viwango vya kimataifa hana tofauti na Fadlu wa Simba

Tumeumaliza Mwendo bye bye Brain matters.

NB: Nawapongeza Mashabiki wote kwa kujitokeza kwa wingi huo ndio UZALENDO
.​
Hatuna plan wala tactics ni pass za angaisha bwege na inshalah 😔
 
20250821_194701.jpg
 
Kwenye Mada moja kwa moja,

Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI (hana anachoweza) badala yake katikati panapwaya ~ Morocco wanasogea kirahisi bila pressure.

Clement Mzize ni mzuri kama Taifa Stars inacheza na Timu ambayo haina matumizi sahihi ya Brain all the time anatumia energy kuliko skills hana tofauti na KIBU kwa scenerio hii anaingia mtu ambaye pia matumizi ya akili yapo chini "SAADUNI"

Kiukweli Coach wetu hana viwango vya kimataifa hana tofauti na Fadlu wa Simba

Tumeumaliza Mwendo bye bye Brain matters.

NB: Nawapongeza Mashabiki wote kwa kujitokeza kwa wingi huo ndio UZALENDO
.​
Limefungwa timu lenu la ccm warudi kwenye timu zetu.
 
Uchambuzi wa kijinga sana huu.
Unasema Fadlu Hana viwango vya kimataifa wakati kwa Simba ndio kocha pekee ameiingiza Simba fainali Kwa mara ya pili na akiwa ameichukua timu kwa miezi TU
Timu ikiwa imevunjwa na kujengwa upya.
 
Back
Top Bottom