G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,427
Natafuta gari Starlet iliyo simama vizuri kama kuna mwenye nayo humu ndani anaweza nichek,pesa yangu kwa gari hiyo nayohitaji haizidi Milion 4.
PM namba yako iwapo unayo tuongee biashara.
Madalali siwafurahii sana kwa sababu ya ujanja ujanja mwingi.
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
PM namba yako iwapo unayo tuongee biashara.
Madalali siwafurahii sana kwa sababu ya ujanja ujanja mwingi.
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA