huo mjengo anaolala duuhHabari ndugu zangu
Star wa muziki kutoka Nigeria Davido anunua gari la ndoto zake aina ya lamborghini na kuwa miongoni mwa mastaa wachache kutoka Afrika wanaomiliki magari ya kifahari.
Kupitia ukurasa wake wa instagram amepost video fupi ikionesha mapokezi ya gari hilo na kupitia video hiyo amesikika akisema I waited for so long. Kweli mziki unalipa asee
wabeba ngada haohata bongo kwa baadhi ya wasanii hasa wale wanaopiga show nje ya mipaka yetu.
Wana faili zote hawa.......Mmbongo mpe kichwa, habari yote ataongezea
Wewe inaonekana umevurugwa sana unawaza ujinga any timeUfipa watapinga wataenda kwa wakili wao wamshitaki kijana Davido kwa kujali maendeleo ya vitu sio watu
Ngoja tusubiri barua ya vitisho
tayari nyumba anazo, una kingine cha kujudge maisha yake?Badala ajenge nyumba ananunua gari. Ovyo kabisa. Iyo gari ikipinduka?
gari ikipinduka anaipinduaBadala ajenge nyumba ananunua gari. Ovyo kabisa. Iyo gari ikipinduka?
Weka pichatayari nyumba anazo, una kingine cha kujudge maisha yake?
una kingine?Weka picha
hizi ndio level za Alikiba
Davido ana mahekalu sio nyumba zetu za kawaida.Badala ajenge nyumba ananunua gari. Ovyo kabisa. Iyo gari ikipinduka?
Hahahahaha! Waswahili utawaweza?! Yani anavyoelezea utadhani ni mwanafamilia ya davidoMmbongo mpe kichwa, habari yote ataongezea