Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa mileleHaving a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Having a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
😅😆😂👍black mind...
Having a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Tafuta hela bro, yaani mtu kutumia pesa yake aliyotumia jasho lake kuitafuta wewe ikutese?Having a black skin sio tatizo, tatizo kubwa sana ni kuwa na black mind...
Black mind ni umaskini wa kudumu, na upuuzi wa milele
Ume enda extra miles awayMwanae aliyefia kwenye swimingpool apumzike kwa amani
Wewe mtu kwao wana utajiri wa dollar karibu billion moja, halafu kajamba nani ambae ni maskini unataka kujifanya unaleta ushauri wakati kwenu hata panadol ni tatizo ukoo mzima,
Hta msanii wetu mama yke angekuwa bilionea angenunua hii pia we unafikiri kuhudumia kijij ni jmbo dgo ni sawa na kununua ndge tuView attachment 2601674
View attachment 2601675
Star wa muziki wa Afro Beats kutoka Nigeria amejizawadia ndinga mpya aina Mercedes Benz Maybach Virgil Abloh mpya kabisa.
Gari hizo zimetengenezwa 150 tu na sasa Davido atakuwa kati ya Watu 150 wenye gari hizo dunia nzima.