Charmy, kila J'2 kuna Uzi maalumu ambao upo mda mrefu, ambapo nadhani ulianzishwa kwa mashirikiano baina ya Invisible na Yahya M. (Mtangazaji wa StarTV)
uzi huo upo jukwaa la Siasa ambapo yeye Yahya M. ni member wa Jf na anakaribisha members wengine kushare topics itakayokua kipindini.
That's why umemsikia akitaja sana Jf, na pia anachukua comments toka fcbk.
Au sicho hicho ulichotoka kujua?