Star tv,tbc,ch 10

Mgjd

JF-Expert Member
Feb 19, 2012
531
95
Tafadhalini nisaidieni,sijuh ni mimi tu au na wengine mnapata shida ya kupata STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwenye satellite dish siku hizi? Nimejaribu kuset upya dish,na mara zote nimeambulia kupata TBC kwa muda mfupi tu kisha inatoweka. KWA STAR TV HAIPATIKANI Kabisaa. Je kuna madiliko ya freq ama? Kwa anayefahamu ebu anisaidie tafadhali.
 
Tafadhalini nisaidieni,sijuh ni mimi tu au na wengine mnapata shida ya kupata STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwenye satellite dish siku hizi? Nimejaribu kuset upya dish,na mara zote nimeambulia kupata TBC kwa muda mfupi tu kisha inatoweka. KWA STAR TV HAIPATIKANI Kabisaa. Je kuna madiliko ya freq ama? Kwa anayefahamu ebu anisaidie tafadhali.

Star TV wamebadili symbol rate
3884V 4900

Hizo nyingine jaribu kuzungusha LNB ili kupata usawa wa vertical na horizontal km unatumia dish la ft 6 hakikisha lipo sehemu ambayo kuna uwazi.
 
Tafadhalini nisaidieni,sijuh ni mimi tu au na wengine mnapata shida ya kupata STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwenye satellite dish siku hizi? Nimejaribu kuset upya dish,na mara zote nimeambulia kupata TBC kwa muda mfupi tu kisha inatoweka. KWA STAR TV HAIPATIKANI Kabisaa. Je kuna madiliko ya freq ama? Kwa anayefahamu ebu anisaidie tafadhali.
watu wengi wenye madish ya futi 6 wanasumbuliwa sana na STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN lakini tatizo hili linaletwa na ile faiba ,au tunaita sabuni inayowekwa ndani ya LNB ili kupata Horizontal na vertical ile sabuni unapo kuwa umeisukuma ndani zaidi ndio inapoteza STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwahiyo nawashauri ile faiba uitoe uiweke pale mwanzo yani isizame ndani wala isitokeze nje iwe saizi na round ya LNB na utakapoiweka ktk zaizi hiyo utaona inapwaya hai tight unachuku kama maskin tape au solution tape unaiongezea ujazo kwa pembeni ili iweze kuwa tight utakapo fanya hivyo tatizo litakuwa limekwisha jaribu na ulete majibu
 
watu wengi wenye madish ya futi 6 wanasumbuliwa sana na STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN lakini tatizo hili linaletwa na ile faiba ,au tunaita sabuni inayowekwa ndani ya LNB ili kupata Horizontal na vertical ile sabuni unapo kuwa umeisukuma ndani zaidi ndio inapoteza STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwahiyo nawashauri ile faiba uitoe uiweke pale mwanzo yani isizame ndani wala isitokeze nje iwe saizi na round ya LNB na utakapoiweka ktk zaizi hiyo utaona inapwaya hai tight unachuku kama maskin tape au solution tape unaiongezea ujazo kwa pembeni ili iweze kuwa tight utakapo fanya hivyo tatizo litakuwa limekwisha jaribu na ulete majibu

Nimefanya hvy nimeambulia Tbc pekee, Star tv na Ch10 zinapatikana usiku tu,tena kwa tabu,zinaingia na kutoka kila baada ya dk kadhaa. Tatizo nini? Je ni eneo? Na kama ni eneo mbona siku za nyuma zilikuwa zinapatikana bila tabu?
 
Star Tv na Channel ten wako hewani. Ile TBC1 sijui TBCCM nilishaifuta kwenye receiver yangu, so I don't care what happens to TBC! Jitahidi uzipate Ch 10, Star Tv, ITV zinatosha kwa TZ.
 
Nimefanya hvy nimeambulia Tbc pekee, Star tv na Ch10 zinapatikana usiku tu,tena kwa tabu,zinaingia na kutoka kila baada ya dk kadhaa. Tatizo nini? Je ni eneo? Na kama ni eneo mbona siku za nyuma zilikuwa zinapatikana bila tabu?

LNB 777.jpg


madishi feki ndivyo yalivyo baada ya miezi sita au mwaka signal zina anza kupotea kwahiyo kwanza tazama dishi lako kama rangi ya dishi imesha anza kutoka na lina kutu basi chukua msasa lisugue kutu itoke halafu lipije rangi kwandani mana kutu ndio inachangia sana kupoteza signal baada ya hapo tazama LNB yako kwenye bapa kama namba yake ni VH-555 LNB au VH-666 LNB basi badili LNB tumia ya VH- 777 LNB ndio inanguvu na ina signal kubwa kwa wale wenye madishi ya futi sita original hayana tatizo kwa hizi LNB VH-555 au VH-666 LNB lakini kwa yale madishi feki ya futi sita hizi LNB za 555 na 666 ni miezi sita tu dishi likipungua signal na LNB haiwezi kuhimili


lakini nilikua napita tu nitarudi baadae
 
Juzi nime search upya ktk c band yangu local channels haipati kabisa Star tv na Ch.10 nazopata ni Tbc1 nayo dk 3 inaonesha then dk 1 inasinzia, zenye signal ya 39 hadi 40 ni eatv, itv, capital tv, tvm1, tvm2 na Tim. Tatizo bado..
 
Juzi nime search upya ktk c band yangu local channels haipati kabisa Star tv na Ch.10 nazopata ni Tbc1 nayo dk 3 inaonesha then dk 1 inasinzia, zenye signal ya 39 hadi 40 ni eatv, itv, capital tv, tvm1, tvm2 na Tim. Tatizo bado..

Signal 40?! Itv,TIM1 na TIM2 zinatulia kabisa? Hupati interference/scratches? Nauliza hv kwakuwa mim ikiwa chini ya 50,inakuwa too scratched.
 
View attachment 57607


madishi feki ndivyo yalivyo baada ya miezi sita au mwaka signal zina anza kupotea kwahiyo kwanza tazama dishi lako kama rangi ya dishi imesha anza kutoka na lina kutu basi chukua msasa lisugue kutu itoke halafu lipije rangi kwandani mana kutu ndio inachangia sana kupoteza signal baada ya hapo tazama LNB yako kwenye bapa kama namba yake ni VH-555 LNB au VH-666 LNB basi badili LNB tumia ya VH- 777 LNB ndio inanguvu na ina signal kubwa kwa wale wenye madishi ya futi sita original hayana tatizo kwa hizi LNB VH-555 au VH-666 LNB lakini kwa yale madishi feki ya futi sita hizi LNB za 555 na 666 ni miezi sita tu dishi likipungua signal na LNB haiwezi kuhimili


lakini nilikua napita tu nitarudi baadae

Sasa how do i know kwamba dish ni feki? Mfano dish nililo nalo ni EURO STAR Lnb ni Gulf star ambayo naitumia kwny pass 10, 68.5 E kwa ajili ya Al jazeera,na local natumia super max ambayo ni VH 888,. Sasa pamoja na kujaribu ulivyonielekeza,nikipata signal ya juu ya ch 10(45...), Tbc inapotea. Nilipata signal ya Tbc-40,ch 10 full scratched na TIM zote. Vipi single solution Lnb je inafaa?. Au hii super max VH 888 INA TATIZO? Note: ina njia mbili za cable.
 
View attachment 57607


madishi feki ndivyo yalivyo baada ya miezi sita au mwaka signal zina anza kupotea kwahiyo kwanza tazama dishi lako kama rangi ya dishi imesha anza kutoka na lina kutu basi chukua msasa lisugue kutu itoke halafu lipije rangi kwandani mana kutu ndio inachangia sana kupoteza signal baada ya hapo tazama LNB yako kwenye bapa kama namba yake ni VH-555 LNB au VH-666 LNB basi badili LNB tumia ya VH- 777 LNB ndio inanguvu na ina signal kubwa kwa wale wenye madishi ya futi sita original hayana tatizo kwa hizi LNB VH-555 au VH-666 LNB lakini kwa yale madishi feki ya futi sita hizi LNB za 555 na 666 ni miezi sita tu dishi likipungua signal na LNB haiwezi kuhimili


lakini nilikua napita tu nitarudi baadae

Sasa how do i know kwamba dish ni feki? Mfano dish nililo nalo ni EURO STAR Lnb ni Gulf star ambayo naitumia kwny pass 10, 68.5 E kwa ajili ya Al jazeera,na local natumia super max ambayo ni VH 888,. Sasa pamoja na kujaribu ulivyonielekeza,nikipata signal ya juu ya ch 10(45...), Tbc inapotea. Nilipata signal ya Tbc-40,ch 10 full scratched na TIM zote. Vipi single solution Lnb je inafaa?. Au hii super max VH 888 INA TATIZO? Note: ina njia mbili za cable. Na hiyo ya Aljazeera haina tabu napata chnls zote both Horintal na Vertical kwa signal kubwa tuu.
 
Tatizo signal zimepungua kwenye satalahiti mtabadili lnb .madish .na risiva bure dawa ni dish ft 8 au sibirini kudra za mungu
 
Nimefanikiwa actually kupata Star tv signal 30,ch10 signal 40 ambayo ni scratched. But Tim zote zina high signal mchana,usiku inashuka hadi 48 which is too scratched(high interference). [Fatma]
 
Mkuu naomba unielekeze hio sabuni (fiber) inapatkana kwny c band sehem gan?

Ni kibao kidogo kinachochomekwa ndani ya C band Lnb. Na kazi yake ni kutenga Vertical na Horizontal positions ya chnl zinazoingia. Kwa mfano: unaweza kupata IPP MEDIA KTK vertical frequency au ukikihamishia upande mwingine unazipata ktk Horintal frq.
 
Star Tv na Channel ten wako hewani. Ile TBC1 sijui TBCCM nilishaifuta kwenye receiver yangu, so I don't care what happens to TBC! Jitahidi uzipate Ch 10, Star Tv, ITV zinatosha kwa TZ.

GeneciusKaiza
Mkuu umenifurahisha ni hii kitu
Star Tv na Channel ten wako hewani. Ile TBC1 sijui TBCCM nilishaifuta kwenye receiver yangu, so I don't care what happens to TBC! Jitahidi uzipate Ch 10, Star Tv, ITV zinatosha kwa TZ.

GeneciusKaiza
Mkuu umenifurahisha na hii kitu
"Ile TBC1 sijui TBCM nilishaifuta kwenye receiver yangu, so i don't care what happens to TBC!"

Kulikoni ukaifuta,,,
 
Last edited by a moderator:
Mbona hatuendelei tena,

ukiona hvyo ujue tatizo limeisha ama limechosha,sasa tumeamua kukaa kimya ama kuacha kujisumbua. Lakini kwa upande wangu mm nilifanikiwa kupata Tbc,na Star tv,.ch10 yenyewe inaingia usiku kwa usiku tu tena siyo clear. Hivyo nimechoshwa nimeamua kutulia.
 
Au nakosea hio sabuni kuiweka vzr, nimeisogeza krb na mdomo nimeizungushia selotape au nakosea wapi? Nikiipata startv tu bas tatulia , af dish langu pale kati sjaliziba lile tundu au nayo ni sababu? Nipe utundu wa mwisho mtaalam
 
Back
Top Bottom