Star TV ondoeni hili tangazo haraka!

Star TV ondoeni hili tangazo haraka!

je wajua na samadu hassan,naipenda sana,haswa kiswahili chake mujarab..sijui kwanini hajaenda bbc,dw nk

bbc au dw hakuendeki kirahisi hivyo kwa hao uliiwasema ila wanatusaidia bunge na bbc swahili saa 3 usiku zaidi ya hapo angalia tanzania bila ccm inawezekana tbc ili uchefuke zaid the best tv bongo inayosema ukweli kama vile tbc ya tido mhando nadhan ndio unayo angalia
 
mi naona star tv ipo vizuri ingawa ina mapungufu kadhaa kama stations zingine,hilo tangazo isiwe ndo image yao yote
 
Back
Top Bottom