Star TV ondoeni hili tangazo haraka!

Star TV ondoeni hili tangazo haraka!

Jahom

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2008
Posts
351
Reaction score
33
Jana wakati naangalia BBC swahili likatokea tangazo ........fountain college. Huyo msomaji ndiyo amevuruga kwa kusoma ....fontesheni.... Mbaya zaidi neno limerudiwa kama mara kumi hivi.
 
Jana wakati naangalia BBC swahili likatokea tangazo ........fountain college. Huyo msomaji ndiyo amevuruga kwa kusoma ....fontesheni.... Mbaya zaidi neno limerudiwa kama mara kumi hivi.

Sijawahi kuona kipindi kizuri kwny hii station, ht taarifa yao ya habari ni km ile ya tbc,
 
Kwa machaguo tuliyonayo siku hizi, yakikushinda kama mie..acha!
 
hata Mimi nimeshangazwa sana na hilo tangazo. ni aibu
 
Halafu yule dada ambaye huwa anasoma taarifa ya habari namaanisha IVONA KAMUNTU, anajisikia sana kama vile StarTv ni yake...!!
 
Sijawahi kuona kipindi kizuri kwny hii station, ht taarifa yao ya habari ni km ile ya tbc,
Sasa hivi wamejaza 'Je Wajua?' Ipo kila wakati........ kabla ya kipindi chochote lazima walete Je wajua?. Inachosha sana.
 
ila kwa upande wa radio free afrika
ilikuwa zamani ....kipindi sintasahau...msimulizi ....rogers
 
...dah..yan kidogo nitapike...iv hiz media zetu hazina wataalam wa editib bfr tangazo halijarushwa....?...ni aibu mmmno..na ukizingatia tunaoangalia BBC n weng mmno
 
Siamini kuwa hata wahariri hawajui lugha!
 
Hata mimi nilishangaa kwa nini haijafanyika editing ila siachi kuingalia star tv naipenda Be carefull with my....
 
Hata mimi nilishangaa kwa nini haijafanyika editing ila siachi kuingalia star tv naipenda Be carefull with my....

Haina maana vipindi vyao havina mantiki, tatizo linapokuja ni kuliachia tangazo reeeefu lenye makosa bwerere.
 
Nilidhan ninae ichukia star tv ni mimi peke yangu, kumbe wako wengi eeeh?! Tatizo siasa wana weka mbele kama TBC..!
 
Je wajua na samadu hassan,naipenda sana,haswa kiswahili chake mujarab..sijui kwanini hajaenda bbc,dw nk
 
...dah..yan kidogo nitapike...iv hiz media zetu hazina wataalam wa editib bfr tangazo halijarushwa....?...ni aibu mmmno..na ukizingatia tunaoangalia BBC n weng mmno

Mkuu mbona we haujaedit..?before u dispatch ure document edit edit edit.....five times..!!
 
Back
Top Bottom