Star TV mtandaoni haina sauti

Star TV mtandaoni haina sauti

albani

Member
Joined
May 29, 2012
Posts
24
Reaction score
3
Ndugu wanajamvi, naomba mnisaidie kama kuna mtu yeyote anayejua kwa nini Star TV mtandaoni imekuwa haina sauti. Kwa muda mrefu ilikuwa haipatikani kabisa. Sasa inapatikana ila sauti haisikiki kabisa. Hii ndio TV pekee tunayoitegemea watanzania tulio ughaibuni angalau kupata taarifa za habari na nyingine za nyumbani. Kama kuna mtu anayejua kuna tatizo gani au anajua cha kufanya ili upate sauti naomba anijuze
 
Ndugu wanajamvi, naomba mnisaidie kama kuna mtu yeyote anayejua kwa nini Star TV mtandaoni imekuwa haina sauti. Kwa muda mrefu ilikuwa haipatikani kabisa. Sasa inapatikana ila sauti haisikiki kabisa. Hii ndio TV pekee tunayoitegemea watanzania tulio ughaibuni angalau kupata taarifa za habari na nyingine za nyumbani. Kama kuna mtu anayejua kuna tatizo gani au anajua cha kufanya ili upate sauti naomba anijuze

Ndugu albani,

Pole na asante kwa kutujulisha tatizo hili. Tumerekebisha na sasa sauti ipo kama kawaida.

Kiunganishi: StarTV Live | StarTV

Shukrani na endelea kutazama Star TV.
 
Waheshimiwa wataalamu wa Star TV, nashukuru sana maana kwa sasa nawapata kwa uzuuri kabisa hapa Dublin Ireland. Mko juu na mnatusaidia sana kupata taarifa za nyumbani. Once again thank you very much
 
Ndugu albani,

Pole na asante kwa kutujulisha tatizo hili. Tumerekebisha na sasa sauti ipo kama kawaida.

Kiunganishi: StarTV Live | StarTV

Shukrani na endelea kutazama Star TV.
Pongezi sana star TV kwa huduma hii! Katika nchi za wenzetu, television ya taifa ndiyo inapatikana online. Lakini sisi hapa kwetu TBC wapo mahututi, wamesahau wajibu wao, tunashukuru starTV kwa kubeba jukumu hili kubwa na mhimu.
 
Star TV mnaleta habari nzuri sana, sio zile za kishabiki za ITV, kama sio Mengi apewe Airtime basi Chama cha Mbowe.
Khaaa!!!
 
Star tv wanashukuruni sana mnatusaidia sana kwa sisi wa madongo kuinama kupata habari za nyumbani.
Cha msingo boresheni picha iwe na ubora zaidi mtandaoni kama wenzenu wa Kenya KTN,NTV KBC etc

Rudisheni RFA hewani kwenye mtandao siwapati kwa muda mrefu..

ushauri pia kwa wadau wa IT Tanzania wanaweza kuingia ubia na tv stations wakawa wanarusha online matangazo yenu pia
Mfano kenya wana kenyamoja.com ambao wanahost tv stations kama 7 hivi za Kenya na kwa ubora wa hali ya juu.


WATCH NTV LIVE | KenyaMOJA.com
 
Kumbe Tanzania kuna TV iitwayo Star TV? Nakumbuka niliiona zamani sana. Tokea walipopotea kwenye madishi yanayotumiwa na wananchi wengi sitaki hata kuwasikia. Siku hizi mambo mazuri yapo ITV na channel ten. Televisheni vimeo ni Star TV na TBC.
 
Back
Top Bottom