Mjadala wa leo asubuhi star tv kuhusu mchango wa waandishi wa habari katika kuhakikisha kuwa utawala wa sheria na utawala bora vinazingatiwa umenikuna ilivyo. Nimeufuatilia sana mwanzo hadi mwisho, kama kweli wananchi tungekuwa tunasikiliza mijadala hii tusingesubiri hadi iseme. Leo ndo nimeelewa vizuri kuhusu suala la mauaji yaliyotokea Iringa, Morogoro na kwingineko hapa Tanzania. jamani kwa yule ambaye anataka kujua zaidi nitaweka mchakato mzima wa tukio lilivyokuwa hadi Mwangosi kupoteza maisha mwanzoni nilikuwa dilema now i can stand and speak for something.