Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wewe unajitambua? Kuilamba ccm ndiyo kujitambua?amakweli wajinga ndio waliwaoMtamtetea sana Lissu lakini tunaojitambua tulishasema Lissu siyo makini katika mambo ya professional ndiyo maana kwenye hili la mgomo wa mawakili amefeli 100% na hakuna mtu makini atapinga hili otherwise zingine ni blabla tu!