Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,169
- 3,358
- Thread starter
- #41
Inapendwa na watu wa aina gani?
Super Brand wanaitoa akina nani?? Unafikiri inajileta tu yenyewe?
Inapendwa na watu wa aina gani?
Hakuna cha kufurahisha, muhimu watu wajue si kila mtu anashabikia anachoamini yeyeKabisa, umefurahi??
Hata za kwako zipo wazi
Ujuavyo wewe ni hao tu wenye Super Brand?Super Brand wanaitoa akina nani?? Unafikiri inajileta tu yenyewe?
Hakuna cha kufurahisha, muhimu watu wajue si kila mtu anashabikia anachoamini yeye
Kwa maono ya ushabikiKushabikia ni tofauti na weledi, kama wewe ni UKAWA na mimi ni CCM, au wewe Yanga mimi Simba sioni ubaya. Ubaya unakuja unapofanya mambo ambayo yanaonyesha kabisa kuna kitu.
hao mafisadi waombe wakununulie ata baiskeli;
Ndo maana umepewa kuchagua ata mimi sinunui gazeti la Rai Na Mtanzania na T/DAIMA.
MAPAKA TAR 29 OCKTOBERA
Kwa maono ya mahaba niue, mbele kwa mbele.Kwa maono ya ushabiki
Ujuavyo wewe ni hao tu wenye Super Brand?
Umemnukuu reginard mengi ; baada ya kuona kina kirefu cha magufuri
rudi ccm ; wewe ni kijana
wazee ukawa
Hayo mahaba yenu msilazishe wengine, leo kulalamikia star tv kwa sababu wanarusha matangazo ya campain ya ccm haina mashiko maana wenye uelewa wao wanajua ni tv zipi utapata habari za ukawa na zipi utapata habari za ccm. Hata magazeti vilevile tena ajabu unakuta magazeti manne heading moja!!!Kwa maono ya mahaba niue, mbele kwa mbele.
Diallo alishaapa kwamba Lowassa hawezi kuwa Rais. Ni mahasimu sana
Hayo mahaba yenu msilazishe wengine, leo kulalamikia star tv kwa sababu wanarusha matangazo ya campain ya ccm haina mashiko maana wenye uelewa wao wanajua ni tv zipi utapata habari za ukawa na zipi utapata habari za ccm. Hata magazeti vilevile tena ajabu unakuta magazeti manne heading moja!!!
Unaumwa ugonjwa mbaya sana wa kutojitambua. Kama unataka TV iongelee mambo unayopenda anzisha ya chama chako na iongee unayopenda. Hapa tulia tuuu kama unaminywa jipu ili upone vizuri. Na baada ya tarehe 25/10/2015 dawa itakuwa imekuingia sawa sawa.Na hii kifeli basi itakuwa chali kabisa, kifo cha mende.
Unaumwa ugonjwa mbaya sana wa kutojitambua. Kama unataka TV iongelee mambo unayopenda anzisha ya chama chako na iongee unayopenda. Hapa tulia tuuu kama unaminywa jipu ili upone vizuri. Na baada ya tarehe 25/10/2015 dawa itakuwa imekuingia sawa sawa.