Star TV Kuna maisha baada ya uchaguzi

Star TV Kuna maisha baada ya uchaguzi

Nani wa kuhurumia.Muda wa kazi wewe unakunywa viroba,baadae unalalamika CCM haijakuletea maendeleo.Hawa ndio mashaabiki wa UKAWA.Poleni UKAWA.

Hivi ukisema masanga unamananisha viroba tu???
 
Kwa mara ya meisho kuangalia hiyo star tv ilikuwa mwaka 2013 february sijawahi hata kuangalia tena. Nilishangaa tu baadae watangazaji wake wengine wako azam
 
Kwa mara ya meisho kuangalia hiyo star tv ilikuwa mwaka 2013 february sijawahi hata kuangalia tena. Nilishangaa tu baadae watangazaji wake wengine wako azam
Ni kutokana na kuendekeza sera za kijinga na kutokuwa na mwelekeo.
 
Hata me wananiboa sana hata taarifa zao siku hizi siziangalii kabisa

rivamba unaweza kupata kiharusi kama huna moyo thabiti ukiangalia taarifa zao za saa mbili usiku!

Ya UKAWA ni mabaya tu yanaripotiwa na ya CCM mareefu tena ya kipuuzi kabisa!
 
Last edited by a moderator:
Mnalalamika nini acheni kuiangalia vingamuzi vyao msinunue kwani Msigwa Iringa aliweka wazi
 
Unadhani kila mtu kaajiliwa,wengine wamejiajili ujue hivyo.
Me pia nimejiajiri na sijawahi ajiriwa lkn kwa mtu anayeheshimu kazi yake hawezi kunywa viroba mida hii rabda kama ni kundi la wanaosubiri mabadiliko wakitegemea watakuwa wanapewa hela bure
 
Mzee wa Rula

Hata Magazeti wanasoma kiundani habari za ccm tu, tcra chukueni hatua, nilikua naipenda, siipendi tena, naenda kula malimao.
 
Last edited by a moderator:
Me pia nimejiajiri na sijawahi ajiriwa lkn kwa mtu anayeheshimu kazi yake hawezi kunywa viroba mida hii rabda kama ni kundi la wanaosubiri mabadiliko wakitegemea watakuwa wanapewa hela bure

Nimeelewa hisia zako.
 
Mi nadhani ni chombo cha umma tu kama TBC ndio wanatakiwa kutoa haki kwa vyama vyote katika kutoa matangazo kwa vile kinaendeshwa kwa kodi zetu.TV zingine binafsi zina uhuru kuwa na mrengo wowote wanaoupenda katika kutoa matangazo yao alimradi hawaleti uvunjifu wa amani.
Cha kufanya ni sisi wanachi kuzitambua hizo TV station na kuziepuka.
 
Back
Top Bottom