KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
Kuelekea Uchaguzi Mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya TV za hapa nyumbani nakushangazwa na Kituo cha Television cha Star TV cha jijini Mwanza.
Kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao
Hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaa
Kimekuwa na taarifa za upande mmoja zaidi kwa kuonyesha zaidi mikutano ya CCM lakini CHADEMA hawaoneshi kabisa labda litokee tukio negative kwao
Hii sii sawa kabisa nyinyi ni jicho la wananchi jifunzeni kwa ITV wako vizuri kwa kuonyesha kwa usawa kabisa vinginevyo mtapoteza mvuto kabisaaa