Kwa muda sasa Star Times wanacheza mchezo mchafu. Stesheni za bure - yaani ITV, TBC, Star TV, EATV na Channel Ten zinaonekana vizuri kwa muda mfupi na kuanza kuganda picha au kusikia sauti tu.Wakati hizi za bure hazionekani, zile station nyingine za nje zinaonekana vizuri bila tatizo lolote. Ina maana wanalazimisha wateja kulipia ili waone TV la sivyo ubaki na hizi zinazoganda! TCRA waingilie kati kwani tunanyanyaswa.. . . ,