Star time nimetupa nataka zuku

Kyenju

JF-Expert Member
Jun 16, 2012
4,621
1,706
Baada ya kuona king'amuzi cha star time kinazingu nimeamua kuamia ZUKU, nimeambiwa ni Tsh. 120,000.

Hii bei ndiyo yenyewe au kuna chakachua kidogo, waliokwisha nunua naomba details.
 
hamna kuchakachua! bei yake ni Tsh. 132,000/=. naona kwa bei hiyo ya 120,000/= naona wamefanya punguzo! tatizo la ZUKU wana local chanels tatu tu - TBC, Chanel Ten na Clouds. wanadai wataongeza local chanels zingine, sasa sijui hadi lini!
 
ukitaka zuku bila usumbufu wa kuaza kuongea bei na fundi ni 132000 all inclusive pamoja na mwezi mmoja bure
 
  • Thanks
Reactions: RTE
hamna kuchakachua! bei yake ni Tsh. 132,000/=. naona kwa bei hiyo ya 120,000/= naona wamefanya punguzo! tatizo la ZUKU wana local chanels tatu tu - TBC, Chanel Ten na Clouds. wanadai wataongeza local chanels zingine, sasa sijui hadi lini!

Ishakuwa kimeo, ITV hakuna?
 
Ishakuwa kimeo, ITV hakuna?

nilizokutajia ndo hizo hizo. ITV hakuna. nilipoongea na wahusika wakasema wako kwenye mchakato wa kuongeza chanels za ndani including hiyo ITV. labda uwaulize upate uhakika!
 
nilizokutajia ndo hizo hizo. ITV hakuna. nilipoongea na wahusika wakasema wako kwenye mchakato wa kuongeza chanels za ndani including hiyo ITV. labda uwaulize upate uhakika!

Nashukuru sana mzee.
 
Leo nimena ZUKU WAMEBADILISHA MWELEKEO WA MADISHI YAO NAKUWEKA MWELEKEO KAMA WA DSTV
KWASABU GANI WAMEFANYA IVYO?

Sio mwelekeo wa dstv wamehamia satellite ya SES5 ambako ilipo DW na nyingine nyingi free sababu ya kugeuza dish kutoka NSS12 kwenda SES5 ni zilipokuwa awali uwezo wa satellite ulikuwa mdogo na walipoongeza chaneli satellite haikuwa na uwezo hivyo ndio maana wamehamia magharibi na chaneli wameongeza.
 
Sio mwelekeo wa dstv wamehamia satellite ya SES5 ambako ilipo DW na nyingine nyingi free sababu ya kugeuza dish kutoka NSS12 kwenda SES5 ni zilipokuwa awali uwezo wa satellite ulikuwa mdogo na walipoongeza chaneli satellite haikuwa na uwezo hivyo ndio maana wamehamia magharibi na chaneli wameongeza.

Wameongeza chanel gani?
 
ITV hakuna. nilipoongea na wahusika wakasema wako kwenye mchakato wa kuongeza chanels za ndani including hiyo ITV. labda uwaulize upate uhakika!

ITV walishajitoa. Kama uliambiwa itakuja, basi utasubiri sana. Kama ni mpnz wa local channels nenda Digitek, maana huko hakuna za maana za nje.
 
Zuku ni nzuri sn,bei yake 130000,including gharama za fundi!km ni mpenzi wa channel za nje uta'enjoy'!gharama zao kila mwezi 48000.
 
siku hizi, ving'amuzi ni kama laini za simu tu, maana wanavyokomoana hao wenye navyo, bora turudi kwnye antena za miba na tube zile.
 
funga dish la kawaida 2,hakuna cha ving'amuzi uzushi 2 na gharama ziczokuwa na mpango
 
Back
Top Bottom