Huu ni wimbo upo kwenye album ya Stanley enow track number 13 ambayo amemshirikisha kijana kutoka Tanzania na msanii mwingine anaitwa Ariel sheney.stanley enow ni msanii mkubwa kutoka nchini Cameroon pamoja na Ariel sheney.
Vitu nilivyopenda kwenye wimbo Huu
1.ujumbe
Huu wimbo unahusu kumcourage mtu ambaye anatafuta maisha.
2.melody
Melody ya Hawa watatu ni amaizing kimefanya ngoma iwe kali.
3.ubunifu wa diamond
Diamond ametumia lugha tatu tofauti kiswahili,kiingereza na kifaransa kaimba alafu karap kidogo kwa kifaransa.Diamond ameua sana
4.mziki wenyewe
Ni ngoma inayoishi na haichoshi Ina sound tofauti beat yake ni ya kusikiliza zaidi than kuchezeka.wasanii wote wa
Vitu nilivyopenda kwenye wimbo Huu
1.ujumbe
Huu wimbo unahusu kumcourage mtu ambaye anatafuta maisha.
2.melody
Melody ya Hawa watatu ni amaizing kimefanya ngoma iwe kali.
3.ubunifu wa diamond
Diamond ametumia lugha tatu tofauti kiswahili,kiingereza na kifaransa kaimba alafu karap kidogo kwa kifaransa.Diamond ameua sana
4.mziki wenyewe
Ni ngoma inayoishi na haichoshi Ina sound tofauti beat yake ni ya kusikiliza zaidi than kuchezeka.wasanii wote wa
