Standard fee structure for private schools coming

Standard fee structure for private schools coming

Ndio order imeshatolewa hiyo na ifuatwe, otherwise wafungue kesi kupinga hii tozo wakiwa na sababu za msingi. Je shule na hospital ni biashara au huduma!? Kama ni huduma basi TRA wasitie mkuu huko.
Waraka wao unakubali shule kutoza viwango vya sasa iwapo kama waliidhinishiwa na kakishna hivyo sio hizo ada elekezi. Vile vile wametakiwa kupeleka kwa kamishna taarifa za viwango wanavyotoza sasa hivi na idhini ya wao kutoza ada hiyo. Hapa mimi naona kuna mambo yataibuka, inamaana zile ada za 5mil-20mil ziliidhimishwa na makamishna? Walitumia vigezo gani? Hawa ni wazalendo kweli? Mh. Rais liangalie hili suala kwa ukaribu. Wabongo tunauana wenyewe!
 
ukiwa na mwalimu mwenye lafudhi ya kenya ama uganda ada inaongezeka

teh teh teh teh mkuu ivi ushawahi kumsikia mkenya anaongea kidhungu anakidhalilisha dah, aise bora hata uganda wanajitahidi
 
Back
Top Bottom